Mtwara: Gari la kubeba mabomba lashambuliwa

Mtwara: Gari la kubeba mabomba lashambuliwa

Ni kweli mradi utakuwa na manufaa ila umekaa kisiasa na unaharufu ya ufisadi 100%. Wanaoshinikiza wanajitahidi kufanya juu chini mradi uanze ili faida ianze kuonekana wakati huo wao wameshachukua chao.

Mbaya sana hii...

Itawacost sana hii,only time!!
 
Gari la kubeba mabomba limeshambuliwa huko Mtwara na liko katika kituo kikuu cha Polisi. Vioo vya mbele vimevunjwa/pasuliwa

Hii ni hatari na ishara mbaya kwa taifa cha msingi ni kukaa na wananchi kujadili na kufikia muafaka kwa faida ya miaka ijayo kutumia nguvu katika hili jambo nii giza huko mbele.

Mungu shusha hekima kwa wababe wa mamlaka .

Serikal na wananch wa mtwara sasa ni wakati wa kukaa kitako, na si kila mmoja kuonesha nguvu dhidi ya anachokitaka, na ikumbukwe kuwa vurugu za wanamtwara haziwaathiri wanamtwara tu, bali ni nchi nzima kwa ujumla!
 
watu wenye akili ndogo ni wengi sana unahangaika na kitu ambacho hakipo unashindwa hata kutumia akili ya kawaida kujua ukweli kwa tarifa yako hakuna kitu kama hichi hayo mapembe yao yatakatwa tu kama wataanza ujinga wao,
mnachosahau ni kutumia uzi kukata pembe la chuma mtakesha mpaka mkome tuna wahakikishia yale yalikua ni mawimbi tu dhoruba inakuja na bahari mtaikimbia
 
Wewe wakae mara ngapi walipokaa waliwarubuni tu na kulazimisha muafaka sasa wakae ili kibadilike nini na ushaambiwa lazima itoke dawa ni sisi kuhujumu miuno mbinu hiyo tu.
 
People in Mtwara have been "winded" with a lot of information about this project. It was for the government to "unwind" and then feed them with corect information. The question is in this CCM government are there any political stratergists and analysts who can take this task???
Nashauri JK awatume watu ambao siyo wababe wakaongee na wazee wa heshima kule Mtwara kisha kwa pamoja wawaelimishe wananchi kuhusu mradi huu kwa kirefu. Vinginevyo tutakuwa kama wale watu wa Ongoni kule Nigeria. Hakuna sababu ya kushindana hadi kufikishana huko. Inawezekana kuepusha hatari inayoinyemelea taifa kwa kukubali kuwa na mazungumzo ya kueleweka.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wapigwe tu, tena nasema wapigwe tu, wapigweeeeeeee tuuuuuuuuuu........
 
Waliovamia si bure watakuwa wana influence ya viroba hivi unawezaje kuvamia wawekezaji wanaokuletea neema haaiingii akilini kabisa kuna ajira nyingi zitazalishwa katika uchimbaki na uwekaji wa mabomba na usambazaji wa gesi maombi yanahitajika wachungaji manabii na mitume,masheikh na masheriff mnahitajika sana sana kuwaombea watu wa mtwara tokeni huko makanisani na misikitini maombi ya kweli yanahitajika mtwara
 
hii habari inapotosha hakuna vurugu zote gari limepasuliwa kioo na mtu aliyekuwa kweny bas linalo fanya safari mtwr-dar kurusha kitu kilichotua kweny kiio cha gar na kukipasua.
 
Back
Top Bottom