Mtwara: Gari la 'Afisa Usalama' lapondwa mawe Msimbati

Mtwara: Gari la 'Afisa Usalama' lapondwa mawe Msimbati

Mwamko huo ni vema ukasambaa nchi nzima ili mafisadi waelewe kuwa Tanzania sio NGO ya mafisadi!!
 
Amechinjwa...!! Hapo serikali lazima isalimu amri.
 
hao wananchi na huyo bibi wakapimwe akili

ndo uwezo wao wa kufikiri ulipoishia?
Kwamba huyo bibi anaweza kuzuia gesi isisafirishwe?
Kwa nini asingezuia gesi isivumbuliwe

Mi nafikiri viongozi wa serikali ndio wakapimwe akili, maana kama ni kweli wanaamini bibi anaweza kuzuia gesi basi akili zao lazima zina kasoro
 
serikali ingetumia wanauslama kutaka kujua majina ya wezi wa pesa zetu walizoficha uswiss kwanjia kama hii, basi tungefika mbali. lakini kutumia njia hii eti kumshawishi bb aruhusu gesi ije mzizima, ni bado wakomunisti!!!!

kama wana usalama wanaamini ushirikina basi tumekwisha. karne ya 21 watu bado wako huko? kwanini wasiibe midola ya wamarekani na wachina ili tuwe matajiri? ushirikina bwana.yule bibi kawatia mkwara tu, ushirikina wa kweli ni ile nguvu ya umma,maandamano kila kona ya mtwara.GESI KWANZA, UHAI BAADAE.
 
kwani hao jamaa si nilisikia kakimbia kama uko kwenye eneo la tukio weka picha bana maana kila mtu anatujuza kifyake weka picha tupate ushahidi
 
Hadi natamani kuwepo eneo la tukio!! Kwani pamoja na kuchinjwa huyo mjumbe wa mafisadi ningemcharaza na bakora pia, hata kama keshakufa!!! CCM inachowafanyia watanzania ni ushetani wa hali ya juu!!!
 
MBONA NAONA KM STORY TU? HIVI NDIVO INAHITAJIKA TANZANIA NZIMA IWE, JAMANI HUU NI MWAMKO WA MABADILIKO WENZETU WAMEANZISHA, WA KANDA YA ZIWA LZM TUJADILI NASI TULINDE RASILIMALI ZETU MAFISAD WA CCM WAACHE KUZICHOTA. BUHEMBA WAMETUACHIA MASHIMO, NYAMONGO MBAL YA KUPOLWA RASILIMALI ZAO PIA NDG ZETU KT MITO WANAWEKEWA SUMU KWANI CCM WANAJUA HAWANA LA KUWAFANYA, JAMANI TJIANDAE 4CHANGEs VINGINEVO WAJUKUU ZETU WATATULAANI KWA UJINGA NA UZEMBE WETU ULIKITHILI
 
kama Afisa Usalama katolewa nduki basi Serikali imtume Babu wa Loliondo akatoe kikombe cha dawa ya uzezeta kwa wana-Lindi na Mtwara ili bomba la gesi asili lijengwe, maana nchi hii katika kumi bora ya ushirikina na imani za kishenzi imo! halafu nimesikia tetesi eti jumatano ijayo Babu wa Loliondo atatokea kwenye TV kuelezea juu ya part2 ya dawa yake! naona katumwa na serikali ili atuondoe kwenye mchaka mchaka wa gesi asilia kama kipindi kile alivyotumiwa kutuondoa ktk sakata la DOWANS! stay tuned...
 
Amechinjwa...!! Hapo serikali lazima isalimu amri.
Ni serikali legelege tu ndiyo inayoweza kusalimu kwa mkwara mbuzi kama huu!Lazima gesi iwaidishe watanzania wote bila kujali gesi inatoka wapi!
 
Serikali inawavutia pumzi haijaamua kufanyakazi, gas kutokuja dar haikubaliki, atiiiii!! wamenchinja?
 
Hadi natamani kuwepo eneo la tukio!! Kwani pamoja na kuchinjwa huyo mjumbe wa mafisadi ningemcharaza na bakora pia, hata kama keshakufa!!! CCM inachowafanyia watanzania ni ushetani wa hali ya juu!!!

Teh teh teh...!
Jaman wa tz mtawaua mafisadi.
 
Kaskazini mjifunze sio kutwa kucha kwenye maandamano ya kupigania wanasiasa uchwara wakati Tanzanite inasafirishwa tu, Nyie mmekazania kumng'oa Meya!
 
hata Askofu kakobe alitishia umeme wa nguzo za Tanesco atauzuia kupita kwa maombi kanisani kwani lakini bado ukapita
Suala si kwamba umeme unapita!!!
Hoja ni kwamba unapita kwa kiasi gani?????
Guzo namba 19 na guzo namber 20 bado kuna matengenezo na wapo wafanyakazi TANESCO wameshafukuzwa!!!
Ni kwa nini mradi huo umeanza matengenezo katika nguzo hizo kabla hata haujazinduliwa???
Ni kwa nini Rais Kikwete pamoja na kuzindua mradi wa Umeme wa Kanisa Katoliki Njombe hakuthubutu kufanya hivyo Kwenye mradi wake??

Hata kama Kikwete atatumia nguvu kusafirisha gas je atasafirisha kwa kwa kiasi gani???
Je Kikwete yupo tayari kuzindua mradi huo wa Gas???
 
Back
Top Bottom