Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,418
- 7,732
Ndio nimsomeshe shule za maana akimaliza akahonge K ndio apate kazi?
Au km wa kiume bado aendelee kua tegemezi?
Kila mtu anapenda mwanae asome vizuri shida ipo hakuna uhakika wa ajira umemaliza akiba yako kasoma mwishowe aambiwe ajiajiri wakati kula yenyewe tabu, ni aibu mwanao kasoma ana digrii yake alafu akawe mmachinga, au auze genge au akalipwe mshahara wa laki 3 au 5 si bora aanze harakati zake mapemaaa.
Nimeishia msingi lakini kipato changu kwa mwezi hata mwenye madigrii yake hanifikii hapo nimefanya maujinga mengi tu.
Au km wa kiume bado aendelee kua tegemezi?
Kila mtu anapenda mwanae asome vizuri shida ipo hakuna uhakika wa ajira umemaliza akiba yako kasoma mwishowe aambiwe ajiajiri wakati kula yenyewe tabu, ni aibu mwanao kasoma ana digrii yake alafu akawe mmachinga, au auze genge au akalipwe mshahara wa laki 3 au 5 si bora aanze harakati zake mapemaaa.
Nimeishia msingi lakini kipato changu kwa mwezi hata mwenye madigrii yake hanifikii hapo nimefanya maujinga mengi tu.