humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 620
Mara ya mwisho nilimsikia huyu jamaa kwenye maandalizi ya tamasha la Wizkid Mwanza ilikuwa 2017 kama sikosei. Wakati huo alizumgumza kama mkurugenzi wa tigo kanda ya ziwa. Sijawahi kumsikia tena tangu hapo.