LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Atakuwa ni mcha mungu huyu
Hayo umesema wewe.Huyu na watu wa namna hiyo lazima alikuwa na baggage fulani ambayo hakutaka ijulikane. Tatizo lake ni kwamba aliupenda uDC ndipo akateuliwa, ila baada ya kuteuliwa akagundua kuwa ana mifupa kwenye kabati lake ambayo hataki ijulikane, na wakati huo akawa hawezi kuondoa jina lake kwenye uteuzi tena, ndipo akaamua kutohudhuria uapishwaji. Mtu kabla ya kuteuliwa, huwa unapewa taarifa kuwa mkuu anataka kukuteua kwenye nasafi fulani, je unaiweza. Mteuliwa mtumianiwa lazima akiri kweli kuwa anaweza kuimudu nafasi ie kabla uamuzi haujafanyika.
Sasa kama yeye alisema anaiweza nafasi ile, halafu siku ya mwisho miguu ikaganda, basi alikuwa na matataizo ambayo hatutayajua!!
Yupo tigo makao makuu, sijui nafasi yake kwasasaMara ya mwisho kukutana na huyu mwamba ilikua 2017 mtaa wa Uhuru Mwanza.
Ofisi yake nakumbuka ilikua Almasi Tower Nyerere load ukouko Mwanza.
Mtu smart sana alafu muelewa,kwasasa sijui yuko wapi huyu kiumbe.
Yupo tigo makao makuuMimi nataka kufahamu
Yupo mwanzaSiyo atakuwa alipotezwa kwa kumdharau jiwe?
Wewe kichuguu kama jina lako. Uliyosema kwa wastaarabu ni kweli. Hufanyika hivyo. Kuitwa na hata kuombwa kumsaidia mteuzi katika nafasi husika. Kama una hofu au wasiwasi unashauriwa ipasavyo kukujengea kujiamini katika majukumu mapya. Kwetu uteuzi unausikia mitandaoni au jamaa na rafiki wakikupongeza kwa usilolijua!Huyu na watu wa namna hiyo lazima alikuwa na baggage fulani ambayo hakutaka ijulikane. Tatizo lake ni kwamba aliupenda uDC ndipo akateuliwa, ila baada ya kuteuliwa akagundua kuwa ana mifupa kwenye kabati lake ambayo hataki ijulikane, na wakati huo akawa hawezi kuondoa jina lake kwenye uteuzi tena, ndipo akaamua kutohudhuria uapishwaji. Mtu kabla ya kuteuliwa, huwa unapewa taarifa kuwa mkuu anataka kukuteua kwenye nafasi fulani, je unaiweza. Mteuliwa mtumianiwa lazima akiri kuwa kweli anaweza kuimudu nafasi ie kabla uamuzi wa mwisho haujafanyika.
Sasa kama yeye alisema anaiweza nafasi ile, halafu siku ya mwisho ndipo miguu ikaganda, basi alikuwa na matatizo ambayo hatutayajua!!
Alijua ukweli, lakini hakuzushiwa jambo kweli?Katika Historia, ndugu Ally Masoud Maswanya ndio Mtu pekee alikataa Uteuzi wa Rais Magufuli.
Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya lakini siku ya kwenda kuapa hakutokea. Walipompigia simu akaape, akasema yupo Ofisini anadeal na wateja wake.
Alikuwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo kanda ya Ziwa. Sijui sasa hivi yupo wapi na anafanya nini.
Pia Soma: Mkuu wa Wilaya Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiuzulu
Kwa Mh. Jiwe hiyo kitu ya kuulizwa kwanza haikuwapo! Ulikuwa unashtukizwa tu!Mtu kabla ya kuteuliwa, huwa unapewa taarifa kuwa mkuu anataka kukuteua kwenye nafasi fulani, je unaiweza. Mteuliwa mtumianiwa lazima akiri kuwa kweli anaweza kuimudu nafasi ie kabla uamuzi wa mwisho haujafanyika.
Uongo mkuu... teuzi huwa zinatoka tu me pia nilikataa teuzi na sikuonywa kitu niliwaambia nafasi yangu inawateja wengi siwezi iacha kwa muda mfupi huu katika chaguzi ya 2015 na uchaguzi wa 2020 niliambiwa nisije kataa teuzi yeyote mzee hataki sikia mtu kakataa... hamna mtu aliyepotezwaHuyu na watu wa namna hiyo lazima alikuwa na baggage fulani ambayo hakutaka ijulikane. Tatizo lake ni kwamba aliupenda uDC ndipo akateuliwa, ila baada ya kuteuliwa akagundua kuwa ana mifupa kwenye kabati lake ambayo hataki ijulikane, na wakati huo akawa hawezi kuondoa jina lake kwenye uteuzi tena, ndipo akaamua kutohudhuria uapishwaji. Mtu kabla ya kuteuliwa, huwa unapewa taarifa kuwa mkuu anataka kukuteua kwenye nafasi fulani, je unaiweza. Mteuliwa mtumianiwa lazima akiri kuwa kweli anaweza kuimudu nafasi ie kabla uamuzi wa mwisho haujafanyika.
Sasa kama yeye alisema anaiweza nafasi ile, halafu siku ya mwisho ndipo miguu ikaganda, basi alikuwa na matatizo ambayo hatutayajua!!
Hata Bashiru alifikia uongozi wa juu wa nchiKwa mtu potential kazi ya UDC Ni ngazi nzuri ya kuonyesha viwango na kufikia ngazi za juu za uongozi wa nchi.
Wengi huwa tunashuhudia wakisema hawakujuwa teuzi zao, mpango, kabudi eti walistukizwa, wasemaje?Huyu na watu wa namna hiyo lazima alikuwa na baggage fulani ambayo hakutaka ijulikane. Tatizo lake ni kwamba aliupenda uDC ndipo akateuliwa, ila baada ya kuteuliwa akagundua kuwa ana mifupa kwenye kabati lake ambayo hataki ijulikane, na wakati huo akawa hawezi kuondoa jina lake kwenye uteuzi tena, ndipo akaamua kutohudhuria uapishwaji. Mtu kabla ya kuteuliwa, huwa unapewa taarifa kuwa mkuu anataka kukuteua kwenye nafasi fulani, je unaiweza. Mteuliwa mtumianiwa lazima akiri kuwa kweli anaweza kuimudu nafasi ie kabla uamuzi wa mwisho haujafanyika.
Sasa kama yeye alisema anaiweza nafasi ile, halafu siku ya mwisho ndipo miguu ikaganda, basi alikuwa na matatizo ambayo hatutayajua!!
Ata Mimi kuna ngazi nikifika aya ukuu Wa Mkoa naukataa
Yupo tigo makao makuuYupo mwanza
Yupo tigo makao makuuYuko wapi jamani?
Natamani kujua the aftermath.
Mara nyingi hizo teuzi ni kutumika Kama mercenaries.Aliogopa kufanya Dhulma kama za Ole Sabaya
Kama wale wa Hai, Arumeru, RC wa Mbeya na.... eti?Kwa mtu potential kazi ya UDC Ni ngazi nzuri ya kuonyesha viwango na kufikia ngazi za juu za uongozi wa nchi.
Alijua kuwa mikono yake sio misafi, hivyo alifanya uamuzi sahihi,Katika Historia, ndugu Ally Masoud Maswanya ndio Mtu pekee alikataa Uteuzi wa Rais Magufuli.
Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya lakini siku ya kwenda kuapa hakutokea. Walipompigia simu akaape, akasema yupo Ofisini anadeal na wateja wake.
Alikuwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo kanda ya Ziwa. Sijui sasa hivi yupo wapi na anafanya nini.
Pia Soma: Mkuu wa Wilaya Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiuzulu
Magufuli alikuwa na tabia ya kuwateua watu bila ya kuwaambia, wasikie uteuzi redioni.Katika Historia, ndugu Ally Masoud Maswanya ndio Mtu pekee alikataa Uteuzi wa Rais Magufuli.
Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya lakini siku ya kwenda kuapa hakutokea. Walipompigia simu akaape, akasema yupo Ofisini anadeal na wateja wake.
Alikuwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo kanda ya Ziwa. Sijui sasa hivi yupo wapi na anafanya nini.
Pia Soma: Mkuu wa Wilaya Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiuzulu
Mara nyingi hizo teuzi ni kutumika Kama mercenaries.
Ni kazi za laana.
Furaha yake uendelee kuzipata wakati wote, ukizikosa unapata maisha magumu sana.