klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
heheheh wape vi tablet vyao bana!heri yetu mimi na wewe ni wa hudhurungi.......hatuna haja ya kujua tulitoka wapi
heheheh wape vi tablet vyao bana!heri yetu mimi na wewe ni wa hudhurungi.......hatuna haja ya kujua tulitoka wapi
heri yetu mimi na wewe ni wa hudhurungi.......hatuna haja ya kujua tulitoka wapi
Kama unaamini Bible wacha nikujibu kwa Bible.
Ni kweli labda ulipokuwa mtoto ulioneshwa picha za Adam na Hawa wakiwa weupe...lakini kwa sasa mambo yamebadilika na si ajabu ukipitia tena vitabu vya aina hiyo hiyo wakati huo uliyooneshwa utaona baadhi yake ambavyo vina picha ya Adam na Hawa weusi tu kama wewe au wakionekana kama Wahindi, Wa-aborigines,Wakorea,Amerindians,Wa-siberians n.k. Kwa kifupi hayo yalikuwa mambo ya kupita tu. Wala sidhani kama kuna mwenye udhibitisho wa rangi haswa ya Adam na Hawa ilikuwaje kwani ukirudi kwenye evolution theory utaambiwa mwanadamu wa kwanza aliishi Africa na hilo litakupa uwezekano mkubwa kuwa alikuwa mweusi au light skin kama baadhi ya Wahabeshi au Wasomali.
Kuhusu kama walioana dada na kaka ni kweli kabisa ndivyo ilivyo kuwa kwani hata baadhi ya wazee wa imani kama Abraham mke wake alikuwa ni dada yake waki-share baba na mama tofauti; soma Gen:20:1-13 utaelewa kidogo kuhusu hilo. Sheria za kukataza ndugu koana zimekuja baada ya Wayahudi kutoka Egypt rejea Lev: 18:1-30 utaona huu ufafanuzi.
Kuhusu kwamba hakukuwa na wasichana na tunaambiwa kuwa walikuwa wanaume tu nadhani hapo umeteleza kidogo.
Biblia walipewa Wayahudi na kwa Wayahudi mara nyingi watoto wa kile hawapewi uzito sana kama wanaume wanavyopewa lakini hilo haliwezi kuwa sababu ya kwamba hakukuwa na watoto wa kike enzi hizo. Hao walikuwepo tena tele. Kwa mfano tunajua Yakobo alikuwa na watoto 12 tena wote wavulana lakini ukumbuke alikuwa nao na wa kike wengi tu mfano wa mtoto wake wa kike ni Dina rejea Gen: 30: 21(lakini ukipenda soma Chapter 30 yote ili uelewe zaidi.)
naomba kueleweshwa kwa mwenye ufahamu na hili ni katika kueleweshana
Naomba lisiwe na chembe za udini japo source yake imetoka kwenye bible bible hivi..
Nikiwa nimekulia na kulelewa katika mazingira ya dini ya kikiristo tulikuwa tukionyeswa vitabu
Na vitabu amabayo tulikuwa tunafundishiwa ni vile vyenye picha za adam na hawa na wengine wote ambao inaonyesha kwamba
Walikuwa ni watu weupe ambao niliamini niwazungu. Sasa najiuliza kama original ya adam na hawa walikuwa ni wazungu na ndio tunaaminishwa kwamba walikuwa ni wanadamu wa kwanza
Kabisa kuishi duniani je mie mtu mweusi nilitoka wapi? Maana siamini mzungu na mzungu wanaweza kuzaa mtu full black kabisa.
Kingine kinachonichanganya je zamani waliruhusiwa kaka na dada kuoana? Maana kama adamu na hawa ndo wakwanza it means waliozaliwa ni watoto je walijijenerate namna gani
Na isitoshe waliozaliwa tunaambiwa walikuwa wa jinsia moja wanaume tupu sasa hapo ndo sielewi kabisa msaada jamani!!!
naomba kueleweshwa kwa mwenye ufahamu na hili ni katika kueleweshana
Na vitabu amabayo tulikuwa tunafundishiwa ni vile vyenye picha za adam na hawa na wengine wote ambao inaonyesha kwamba
Walikuwa ni watu weupe ambao niliamini niwazungu. Sasa najiuliza kama original ya adam na hawa walikuwa ni wazungu na ndio tunaaminishwa kwamba walikuwa ni wanadamu wa kwanza
Swali lako zuri sana na pia maswali ni mengi sana mno kujua mtu mweusi alitoka wapi? Jiulize pia kwenye vitabu vya dini tunaona watakatifu wote ni weupe (wazungu) hata pia Malaika ni weupe (wazungu) lakini ukiangalia picha ya Shetani ni Mweusi kama Mkaa kwahiyo uliza pia swali hili je mtu mweusi naye ni kizazi cha SHETANI????
:wink2: nimeipenda hiyo ya shetani..so sie weusi ni product ya mashetani @ndalo?
Kaka una uhakika na hilo neno kwenye red hapo juu? evidence please.Huwezi kupata ukweli isipokuwa kutoka kwenye Biblia na true science combined.Kukataa ukweli huu ni kwamba you prefer lies.Link ninayokupa itakupa ukweli wa biblia and true science.
Nenda The Origin of Race - A biblical explanation of race. by Cooper P Abrams, III. Kuwa mwangalifu na ushauri unaopata kutoka JF hasa kwa mambo kama haya some people in JF ni Freemasons,wanapindisha ukweli ili kumtukuza mungu wao.ambaye ni shetani.It's only the bible and true science which can give you the truth.Ninasema true science makusudi kwasababu kuna ujinga kama evolution ambao uliletwa makusudi ili ku-downgrade kazi ya Mungu ya umbaji.
Kama unaamini Bible wacha nikujibu kwa Bible.
Ni kweli labda ulipokuwa mtoto ulioneshwa picha za Adam na Hawa wakiwa weupe...lakini kwa sasa mambo yamebadilika na si ajabu ukipitia tena vitabu vya aina hiyo hiyo wakati huo uliyooneshwa utaona baadhi yake ambavyo vina picha ya Adam na Hawa weusi tu kama wewe au wakionekana kama Wahindi, Wa-aborigines,Wakorea,Amerindians,Wa-siberians n.k. Kwa kifupi hayo yalikuwa mambo ya kupita tu. Wala sidhani kama kuna mwenye udhibitisho wa rangi haswa ya Adam na Hawa ilikuwaje kwani ukirudi kwenye evolution theory utaambiwa mwanadamu wa kwanza aliishi Africa na hilo litakupa uwezekano mkubwa kuwa alikuwa mweusi au light skin kama baadhi ya Wahabeshi au Wasomali.
Kuhusu kama walioana dada na kaka ni kweli kabisa ndivyo ilivyo kuwa kwani hata baadhi ya wazee wa imani kama Abraham mke wake alikuwa ni dada yake waki-share baba na mama tofauti; soma Gen:20:1-13 utaelewa kidogo kuhusu hilo. Sheria za kukataza ndugu koana zimekuja baada ya Wayahudi kutoka Egypt rejea Lev: 18:1-30 utaona huu ufafanuzi.
Kuhusu kwamba hakukuwa na wasichana na tunaambiwa kuwa walikuwa wanaume tu nadhani hapo umeteleza kidogo.
Biblia walipewa Wayahudi na kwa Wayahudi mara nyingi watoto wa kile hawapewi uzito sana kama wanaume wanavyopewa lakini hilo haliwezi kuwa sababu ya kwamba hakukuwa na watoto wa kike enzi hizo. Hao walikuwepo tena tele. Kwa mfano tunajua Yakobo alikuwa na watoto 12 tena wote wavulana lakini ukumbuke alikuwa nao na wa kike wengi tu mfano wa mtoto wake wa kike ni Dina rejea Gen: 30: 21(lakini ukipenda soma Chapter 30 yote ili uelewe zaidi.)
Adamu na Hawa hawakuwa weupe bana...ngoja nikwambie ndugu ila tu tuingie kwenye imani kidogo.Ni kweli kabisa kuwa Adamu na Hawa walikuwa weupe, ila suala la watu weusi kutokea ni kama ifuatavyo, baada ya kuumbwa adamu Mungu alimtengeneza mwenzake kupitia Ubavu wake wa kushoto kipindi hicho wapo peponi huko, sasa baada ya kufanya ile dhambi Mungu ndo hakawaambia kuwa nawashusha duniani ila kila mmoja nimshusha mahali pake(sikumbiki Adamu alishushwa wapi na hawa alishushwa wapi) ila walishushwa nchi tofauti na wakaambiwa kwakuwa mmetenda zambi hivyo nawashusha ardhini na mtatafutana hadi siku mtakayoonana, basi wakashushwa huku dunian wakiwa peke yao but in diffent places,wakatafutana mpaka siku wapoonana hapo hapo Mungu akamtuma malaika kwao na kuwaambia kuanzia leo mmeharalishwa kuwa mtu na mkewe ila Hawa Utazaaa kwa uchungu na Adamu utatafuta kwa Jasho,(hiki ndo kisa mpaka leo ukitaka kupata mke lazima uangaike) basi baada ya hapo Hawa akapata ujauzito lakini mimba zake alikuwa anazaa mapacha kila mimba (kwa uzezo wa Mungu) alizaa mapacha kalibia 30 lakini kila pacha alikuwa mwanamke na mwanaume ila walikuwa Rangi Tofauti Tofauti(mweupe, mweusi,mwekundu, n.k) baada ya hapo Mungu aliwaamlisha adamu na hawa kuwa kila kizazi chenu lazima waoane But ni marufuku pacha kumuoa pacha mwenzie na ni ruhusa kwa pacha mmoja kumuoa dada au kaka wa pacha mwingine(sijui unanipata mtu wangu) sasa issue inakujaje kuna Pacha mmoja dada yake alikuwa mzuuri vibaya mno akaleta mgogoro kuwa haiwezekani dada yangu aolelewe na mtu mwingine nataka nimuoe mwenyewe kutoka na dada wa mwenzie kuwa mbaya ndo ibilisi akaja na kumwambia ukitaka ufanikiwe na umoe dada yako lazima umuue yule jamaaa (hapo ndo kikaumbwa kifo)jamaa akamuua ndugu yake baada ya kumuua hakujua nini cha kufanya ndo pembeni akaona njiwa wanapigana baada ya muda njiwa m1 akafa yule njiwa mwinginne akafuka kashimo akamfukia mwenzie ndo jamaa alivyoona hivyo nae akamchukua mwenzie akamfukia ndo kisa ahadi leo Tunawafukia wenzetiu KWA HIYO NI KWELI KUWA WALIKUWA WANAOANA NDUGU ILA KWAKWA NJIA WALIYORUHUSIWA NA MWENEYEZI MUNGU. NA KATIKA VIZAZI HIVYO NDANI YAKE KULIKUWA NA PACHA AMBAYE ALIKUWA MWEUSI n.K,, NDO MAANA HADI LEO HII KIZAZI CHEUSI KINAENDELEA MTU WANGU.