uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Sheria haiwezi kuruhusu na haitakiwi iruhusu maana kuna hatari ya mtu kuhukumiwa kimakosa sababu raia hawanaga muda wakusikiliza ujitetee hilo tu ndo ubaya wa hukumu ya raia vinginevyo mwizi ni halali kupata adhabu yakuchoma moto ingewezekana mahakama iwe inachunguza makosa hayo akishakutwa ni mwizi mzoefu wananchi wapewe nafasiHiyo video mimi nimeikuta tu, hata hivyo binadamu sote ni ndugu katika level flani, sasa kama unaamini kumchoma mto mwizi ni haki kwanini wabunge hawapeleki muswada bungeni ili sheria ipitishww na watu wawe wanachomwa moto kwa mujibu wa sheria? Bado adhabu ya moto ni kali sana, na pia hata wewe unaweza ukachomwa moto kwa wizi wa kusingiziwa, kumbe hata hujaiba, ila wahuni wakifika hawaulizi kaiba nini na kamuibia nani, wao ni leta tairi, petrol, wanakulipua, ipo siku utayakumbuka haya maneno kipindi unaiva kama mshikaki huku ukijiona kwa kosa la kusingiziwa, remember these words.
Sent using Jamii Forums mobile app