FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,701
- Thread starter
- #81
Basi peleka mwizi polisi au muuwe kwa jiwe moja, kumtesa kwa kumchoma moto akiwa hai ni mateso makali ambayo sikubaliani nayo
Basi peleka mwizi polisi au muuwe kwa jiwe moja, kumtesa kwa kumchoma moto akiwa hai ni mateso makali ambayo sikubaliani nayo
Dawa ya mwizi ni kiberitiMwizi haki yake ni kuuwawa we unaetetea hujawahi kuibiwa, huku mtaani kwetu wezi wanatulaza macho mtu umetafuta mali kwa shida halafu yeye anakuja kuiba na pengiza anaweza kukujeruhi halafu unamtetea hujajuwa uchungu wa kuibiwa. Ndo maana jpm alisema majambazi wanyang'anywe silaha haraka haraka. Hadi mda huu naandika sijalala nasubiri kulala SAA 10 alfajiri halafu wewe unasema wasichomwe. We p.u.m.b.u kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri siku unaibiwa kimabavu, na ukijaribu kutetea mali yako uchomwe kisu au upigwe panga na huyo mwizi ndo utaelewa kama maumivu makali pia yanawafaa na waoBasi peleka mwizi polisi au muuwe kwa jiwe moja, kumtesa kwa kumchoma moto akiwa hai ni mateso makali ambayo sikubaliani nayo
ulitaka awauwe?Huku una silaha nzito?
Askari vikaza kama wewe hatuwahitaji kabisa kwenye jeshi letu,nyie ndo mnaharibu image ya jeshi la polisi...huyo askari anaakili sana,wakati mwingine busara ni muhimu kutumika kama alivyofanya huyo askari...ukiangalia hao raia hakuna aliyekuwa na lengo la kumdhuru askari na yeye alilijua hiloHiyo video nimeiangalia kwa macho yangu, hivi askari unaruhusu raia akusogelee na kuishika silaha yako? Wewe ni askari kweli, tena wanakusukuma? Kisheria unaruhusiwa kufyatua risasi hewani, na kama bado watakusogelea kukuzonga unahaki ya kuwafumua ubongo wote!
Usinipangie cha kufanya , tafadhali mkuu.Utajiridhisha vipi huyo anaepigwa ana hatia kweli? Wengine husingiziwa tu, pia adhabu ya kuiba inaendana iwe ni kumuua, tena kwa moto?
Vitu vingine vinatia hasira sana, serikali imekupa mafunzo ya kijeshi, ikakununulia na silaha nzito uitumie kulinda maisha ya watz, hata mwizi ni raia na ana haki ya kufika mahakamni kujibu mashtaka, nimejisikia hasira sana kuona huyu askari akishindwa kufyetua risasi hewani, na atakaemgusa sheria inamruhusu kumfumua ubongo!
==========================
Update: Possibly hapakuwa na mwizi kwenye pikipiki iliyochomwa kama heading ya video kwenye youtube inavyosema.
Angekamua traiga nayo tena mngesema katumia nguvu nyingi!!! Kazi ipo sijui ni lipi jema kwenuHiyo video nimeiangalia kwa macho yangu, hivi askari unaruhusu raia akusogelee na kuishika silaha yako? Wewe ni askari kweli, tena wanakusukuma? Kisheria unaruhusiwa kufyatua risasi hewani, na kama bado watakusogelea kukuzonga unahaki ya kuwafumua ubongo wote!
kwahiyo ulitaka sisi tulokuwa pembeni tupigwe risasii kisa pikipiki inayochomwa? kwani pikipiki na uhai kipi kikubwaaa? hata ka kaonesha udhaifu vipi asingeweza za mdhuru mtu kisa pikipiki ilochomwaHiyo video imeonyesha udhaifu wa hali ya juu, lets leave it at that.
Umeongea pumba gani? Nilichosema ni kwamba askari huyo amepewa dhamana ya kulinda raia na mali zao! Na ameshindwa kwa namna ya aibu na ya kufedhehesha, period!Askari vikaza kama wewe hatuwahitaji kabisa kwenye jeshi letu,nyie ndo mnaharibu image ya jeshi la polisi...huyo askari anaakili sana,wakati mwingine busara ni muhimu kutumika kama alivyofanya huyo askari...ukiangalia hao raia hakuna aliyekuwa na lengo la kumdhuru askari na yeye alilijua hilo
Sio mimi ninaekupangia, katiba ya nchi ndio inatuongoza, sawa mzee?
Wazuie kinachoendelea, na atakae kataa kutii amri halali ya askari na kuhatarisha usalama wa askari ashughulikiwe kwa mujibu wa kanuni za kiaskari, ikiwemo kupiga risasi hewani ili kutawanyisha wahalifu, kumbuka waliochoma moto hiyo pikipiki ni wahalifu!Jee ulitaka kuwepo na double murder ili tuweze kuwalaumu polisi? Kwanza mambo haya hutokea wakati polisi hawapo na wanapopewa taarifa na kukuta hali hiyo unatarajia wafanye nini?
Afuate kanuni, alishindwa nini kupiga risasi hewani?Angekamua traiga nayo tena mngesema katumia nguvu nyingi!!! Kazi ipo sijui ni lipi jema kwenu
Sasa unapomzonga zonga askari aliyekupa amri halali ya kukuzuia kuharibu mali kinyume na sheria kanuni zipo wazi, sasa kama hazijui basi sijui niseme nini tena..kwahiyo ulitaka sisi tulokuwa pembeni tupigwe risasii kisa pikipiki inayochomwa? kwani pikipiki na uhai kipi kikubwaaa? hata ka kaonesha udhaifu vipi asingeweza za mdhuru mtu kisa pikipiki ilochomwa
naiomba iyo link.Huwa nikikumbuka Record ya mauaji ya Jamar kashogi sitoangalia tena mauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
h haaa haaaa nimekuelewa mkuuSasa unapomzonga zonga askari aliyekupa amri halali ya kukuzuia kuharibu mali kinyume na sheria kanuni zipo wazi, sasa kama hazijui basi sijui niseme nini tena..