Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,213
- 3,588
Kwanini Mkristo anaweza kumiliki Kanisa/Huduma lakini Muislamu hawezi kumiliki Msikiti, Mhindu hawezi kumiliki Jamatini, M-Bahai hawezi kumiliki Hekalu wala Myahudi hawezi kumiliki Sinagogi?
Kuna nini kwenye Ukristo? Mitume wa Nyakati za Biblia wala Wanafunzi 12 wa Yesu Kristo hawakumiliki Hekalu wala Kanisa. Sisi leo tumetoa wapi hii kitu?
Nadhani serikali ibadili sheria ili Makanisa yasisajiliwe na Msajili mmoja huyo huyo wa kusajili NGOs.
Lakini pia kusiwepo na mtu binafsi au familia au ukoo kumiliki Kanisa/Huduma ya MUNGU.
Mke wa TB Joshua anaendelea kukalia kiti cha mumewe.
Margaret mke wa Bishop Benson Idahosa (Baba wa Upentekoste Nigeria) ameendelea kumiliki Church of God Mission International.
Elizabeth Moses Kulola hajamiliki EAGT.
Evergrace Emmanuel Lazaro kabla ya kutwaliwa nyuma ya kutwaliwa mumewe hakumiliki TAG.
Mazonge kwenye kazi ya MUNGU ni kushindwa kupeleka waumini Mbinguni.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kuna nini kwenye Ukristo? Mitume wa Nyakati za Biblia wala Wanafunzi 12 wa Yesu Kristo hawakumiliki Hekalu wala Kanisa. Sisi leo tumetoa wapi hii kitu?
Nadhani serikali ibadili sheria ili Makanisa yasisajiliwe na Msajili mmoja huyo huyo wa kusajili NGOs.
Lakini pia kusiwepo na mtu binafsi au familia au ukoo kumiliki Kanisa/Huduma ya MUNGU.
Mke wa TB Joshua anaendelea kukalia kiti cha mumewe.
Margaret mke wa Bishop Benson Idahosa (Baba wa Upentekoste Nigeria) ameendelea kumiliki Church of God Mission International.
Elizabeth Moses Kulola hajamiliki EAGT.
Evergrace Emmanuel Lazaro kabla ya kutwaliwa nyuma ya kutwaliwa mumewe hakumiliki TAG.
Mazonge kwenye kazi ya MUNGU ni kushindwa kupeleka waumini Mbinguni.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app