Mtu anisaidie kupata Leseni ya Udereve nitamlipa

Mtu anisaidie kupata Leseni ya Udereve nitamlipa

Tulio jifunza driving kwa massey ferguson,LC LX,110,FUSO FIGHTER,ASHOK LEYLAND,113 na hatuna vyeti wala leseni njooni tuufuatilie huu uzi.kunamwanga kidogo.
 
Tanzania bila Hongo, utoboi. pamekua kama mwanamke bila kumpa pesa Chupi Avui. Dada Zetu Pesa yako, Maneno matupu upati kitu.
 
Habari ndugu zangu.

Nina Tin Number, Certificate ya Chuo cha udereva nilichosemea na Learner,. Kama una connection ya namna naweza pata leseni ya udereva class D kwa urahisi. Nicheki PM tukubaliane dau
Napatikana Dar es Salaam, Malipo ni baada ya Kunipa Leseni yangu. Asante!

Huna haja ya kupoteza hela zako kuhonga ili upate leseni
Daraja D unaweza kupata huko chuoni uliko jifunza udereva ongea na mkufunzi atakusadia.
Tofauti na hapo, kama kweli umejifunza udereva; nenda office ya traffic Mkoani utakutana na vijana wengi tu wanasubiri kumuona Vehicle Inspector; Ingia mwambie umekuja kuomba leseni Daraja la D, utaulizwa maswali kidogo kuhakikisha kuwa kweli umesoma; chap tu wanakutuma TRA unalipa shs 70,000 wiki moja tu unaleseni mkononi
Hata kama umejifunza kuendesha mtaani nenda chuo cha Udereva chap ufanye kozi fupi ya udereva hata wiki mbili ili ujue sheria za barabarani na chuo kitakusaidia kupata leseni daraja D
ILA kama hujui kuendesha , usianze kuhonga upate leseni......barabarani sio mahala pa kufanyia majaribio, labda kama umechoka kuishi!
 
Hakuna mtu wa kukusaidia,mambo yako automatically kwenye system, unarequest then unapata.
 
Daraja D unapata huko chuoni uliko jifunza udereva ongea na mkufunzi atakusadia tofauti na hapo;
Huna haja ya kupoteza hela ya kuhonga; kama kweli umejifunza udereva; nenda office ya traffic Mkoani utakutana na vijana wengi tu wanasubiri kumuona Vehicle Inspector; Ingia mwambie umekuja kuomba leseni Daraja la D, mbona chap tu....wanakutuma TRA unalipa shs 70,000 wiki moja unaleseni

Hata kama umejifunza kuendesha mtaani nenda chuo cha Uereva chap ufanye kozi fupi ya udereva hata wiki mbili ili ujue sheria za barabarani na chuo kitakusaidia kupata leseni daraja D
ILA kama hujui kuendesha , usianze kuhonga upate leseni......barabarani sio mahala pa majaribio...
Ya! nirahisi kwa kuelezea kwenye maandishi
 
Habari ndugu zangu.

Nina Tin Number, Certificate ya Chuo cha udereva nilichosemea na Learner,. Kama una connection ya namna naweza pata leseni ya udereva class D kwa urahisi. Nicheki PM tukubaliane dau

Napatikana Dar es Salaam, Malipo ni baada ya Kunipa Leseni yangu. Asante!
Si uende uongee na vehicle inspector hapo makao makuu! Hiyo rushwa mpelekee yeye utapata leseni yako ndani ya wiki 1.
 
V
Ukiwa na viambata hivyo sioni umuhimu wa connection tena kwa class D!!
Atakayekuhudumia mpe ngapingapi upate SMS ya kuifuata kesho yake.

BTW:Ofisi za TRA Mkoa vishoka wanarandaranda kwenye korido na parking hata ukimueleza mlinzi getini anakuunganisha nao wanakupitisha kwa mhusika.
Vishoka sasa hivi wanakufa na njaa...huna haja ya kwenda ofisi ya TRA. ingia website yao, tafuta mahali palipoandikwa taxpayer portal ingia hapo ujisajili kwa tin namba yako then bonyeza driving licence utajaza taarifa kadhaa then utapata control no ya kulipia, ukilipa baada ya mwezi unaenda polisi wanapitisha (class D haina masharti) unaenda kuchukua leseni yako tra.
 
Habari ndugu zangu.

Nina Tin Number, Certificate ya Chuo cha udereva nilichosemea na Learner,. Kama una connection ya namna naweza pata leseni ya udereva class D kwa urahisi. Nicheki PM tukubaliane dau

Napatikana Dar es Salaam, Malipo ni baada ya Kunipa Leseni yangu. Asante!
Tukutane Gerezani Kariakoo ulizia wanaochapisha vyeti, utanipata.
 
Yangu nilitoa 100,000 nikaletewa baada ya wiki nyumbani na kibahasha..
Niliona nisipoteze muda
 
Daraja D unapata huko chuoni uliko jifunza udereva ongea na mkufunzi atakusadia tofauti na hapo;
Huna haja ya kupoteza hela ya kuhonga; kama kweli umejifunza udereva; nenda office ya traffic Mkoani utakutana na vijana wengi tu wanasubiri kumuona Vehicle Inspector; Ingia mwambie umekuja kuomba leseni Daraja la D, utaulizwa maswali kidogo kuhakikisha kuwa kweli umesoma; chap tu wanakutuma TRA unalipa shs 70,000 wiki moja unaleseni
Hata kama umejifunza kuendesha mtaani nenda chuo cha Udereva chap ufanye kozi fupi ya udereva hata wiki mbili ili ujue sheria za barabarani na chuo kitakusaidia kupata leseni daraja D
ILA kama hujui kuendesha , usianze kuhonga upate leseni......barabarani sio mahala pa majaribio, labda kama umechoka kuishi!
Ushauri mzuri
 
Daraja D unapata huko chuoni uliko jifunza udereva ongea na mkufunzi atakusadia tofauti na hapo;
Huna haja ya kupoteza hela ya kuhonga; kama kweli umejifunza udereva; nenda office ya traffic Mkoani utakutana na vijana wengi tu wanasubiri kumuona Vehicle Inspector; Ingia mwambie umekuja kuomba leseni Daraja la D, utaulizwa maswali kidogo kuhakikisha kuwa kweli umesoma; chap tu wanakutuma TRA unalipa shs 70,000 wiki moja unaleseni
Hata kama umejifunza kuendesha mtaani nenda chuo cha Udereva chap ufanye kozi fupi ya udereva hata wiki mbili ili ujue sheria za barabarani na chuo kitakusaidia kupata leseni daraja D
ILA kama hujui kuendesha , usianze kuhonga upate leseni......barabarani sio mahala pa majaribio, labda kama umechoka kuishi!
Mkuu umeeleza vizuri sana
 
Back
Top Bottom