Mtoto wangu tangu amezaliwa hafumbui macho wala hatikisiki

Nimepata taarifa ramsi kutoka kwa daktari hapa hopitali ya Sokoine. Nimeambiwa mtoto ana utindio Wa ubongo .
 
Nimepata taarifa ramsi kutoka kwa daktari hapa hopitali ya Sokoine. Nimeambiwa mtoto ana utindio Wa ubongo .
Pole sana,wote wewe na mkeo mnahitaji uvumilivu na ujasiri katika kimlea mtoto mwenye tatizo hilo.Mungu awape wepesi.
 
Nimepata taarifa ramsi kutoka kwa daktari hapa hopitali ya Sokoine. Nimeambiwa mtoto ana utindio Wa ubongo .

Pole sana Mkuu lakini mtalipita hili jaribu.
Kuna mahali nilisoma Mtoto wa aina hiyo ukimlea vizuri ataweza kufanya shuguli zake kama
kawaida ukiachana na mapungufu yake.

Fuatilia kwa karibu ushauri wa madaktari, pia jisomee taarifa mbalimbali juu ya Watoto wa
aina hiyo.

Mungu akubariki.
 
Nimepata taarifa ramsi kutoka kwa daktari hapa hopitali ya Sokoine. Nimeambiwa mtoto ana utindio Wa ubongo .
poleni sana mkuu ila kipindi kingine mama akitaka kubeba ujauzito atumie folic acid kabla na kwenye ujauzito
 
Habari wakuu! Mke wangu amejifungua mtoto Wa kiume tangu tarehe 2 mwezi huu Wa Tatu. Ila mtoto tangu amezaliwa hafumbui macho, hawezi kunyonya, hatikisiki yaani viungo vya mkono na miguu havitikisiki. Maziwa anapewa kupitia mabomba. Ila anapumua na kupata choo . Naomba msaada wenu. Kama kuna hospitali au daktari ambaye ni specialist Wa watoto naomba nielekezwe.
Pole mkuu tumwombe mungu
 
Back
Top Bottom