Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Pole sana, daktari inamlazimu akwambie tatizo la mtoto wako kwa kina na namna ambavyo amepanga matibabu yake. Kama hawezi kukwambia hayo nenda kwa Daktari mkuu. Ikishindikana chukua mwanao mpeleke Private Hospital au Muhimbili kama ambavyo umeshauriwa humu. Ukiendelea kukaa hapo tatizo linaweza kuwa kubwa.Daktari hajaweka bayana tatizo la mtoto. Japo kuna Nesi kaniambia mtoto ameathirika kichwani kutokana na complication during deliver. Ila daktari hajatuambia chochote