- Thread starter
- #21
Sawa. Ila changamoto IPO hapa hospitali tulipo hawataki mtoto apewe referal. Wanataka habaki hapa hapaNa mimi nasapoti hiyo ya ninyi kwenda Muhimbili, asubuhi ya leo.
Sawa. Ila changamoto IPO hapa hospitali tulipo hawataki mtoto apewe referal. Wanataka habaki hapa hapaNa mimi nasapoti hiyo ya ninyi kwenda Muhimbili, asubuhi ya leo.
Jamani mm ni mwanachama mpya humu jamii forum nilikuwa naulizia pump kwa ajili ya kilimo zinapatikana wapi na zinauzwa kiasi gani pump ndogo za kumwagilia at least ekali 1 mpaka 5
Sawa. Ila changamoto IPO hapa hospitali tulipo hawataki mtoto apewe referal. Wanataka habaki hapa hapa
Daah .. Vigezo vikiwa ni Mtoto Mchanga haruhusiwi kupata Referal ama ? .. Jaribu pia kua na Moyo wa Uvumilivu na usikivubkwa kipindi Hiki , Kama kuna taratibu za Kidaktari Pia Zisikilize kwa Matokeo Mazuri ya Afya ya Mtoto .. Jitahidi kua mvumilivu kuliko shauku , huku ukiendelea Kusolve na Kupata solution kutoka Sehemu nyingine .Sawa. Ila changamoto IPO hapa hospitali tulipo hawataki mtoto apewe referal. Wanataka habaki hapa hapa
Sijajua kama alipatiwa maana daktari kila kitu wanfanya siri hawaweki wazi tatizo nini na matibabu yakojeJe hospitali walimpatia Carbon DiOxide? ili aamke? wakati anajifungua mtoto alilia? yawezekana bado mwili kutambua kama yupo nje, kama kitovu kimekatika mshtue na maji ya baridi...
Mkuu usizembee, utapoteza , kuwa 100% responsible. Huyo ni mtoto wako na wewe ndie unayelipa bili. Ni muhimu ujue kila kitu kutoka kwa daktari. Na sometime penyeza penyeza rupia apate extra "attenntion".Sijajua kama alipatiwa maana daktari kila kitu wanfanya siri hawaweki wazi tatizo nini na matibabu yakoje
Sawa. Ila changamoto IPO hapa hospitali tulipo hawataki mtoto apewe referal. Wanataka habaki hapa hapa
Wanasema mtoto mchanga ambaye ana matatizo kama haya haruhusiwi kupewa referal kwa sababu anaweza akapata matatizo akiwa kwenye gari kwa sababu gari inaweza kutikisika hivyo mtoto akapata matatizo zaidi halafu lawama ikaenda kwao.Pole ndugu, mmefikia wapi? Na sababu zao za kutokupa ilikuwa nini haswa? Au umejaribu kwingine?
Wanasema mtoto mchanga ambaye ana matatizo kama haya haruhusiwi kupewa referal kwa sababu anaweza akapata matatizo akiwa kwenye gari kwa sababu gari inaweza kutikisika hivyo mtoto akapata matatizo zaidi halafu lawama ikaenda kwao.
Hivi mwanao yupo katika hali hiyo unasubiria rufaa kweli?Si umpeleke private hospital kwa daktari wa watoto jamani??Nimejaribu kufatilia rufaa hawataki. Wanasema mtoto mchanga hawapewi rufaa.
Kama una pesa mpeleke mtoto Muhimbili, hao hawana uchungu na mtoto wako.Nimejaribu kufatilia rufaa hawataki. Wanasema mtoto mchanga hawapewi rufaa.
Muhimbili mtoto anapokelewa kwa rufaa. Bila barua ya rufaa huwezi kupata msaada muhimbili. Hapa hospitali nilipo hawataki kutoa rufaaKama una pesa mpeleke mtoto Muhimbili, hao hawana uchungu na mtoto wako.
Pole sana kwa matatizo yanayomsumbua mtoto wako. Mimi ningeomba kuuliza...je kabla hajazaliwa mama alikuwa anapata/kusikia mtoto akicheza tumboni kama kawaida? Na je amezaliwa kwa njia yakwaida au upasuaji? Mwisho ujauzito ulikuwa umekamilika? Nikimaanisha amezaliwa kipindi chake Na sio kawahi au kachelewa kuzaliwa?Habari wakuu! Mke wangu amejifungua mtoto Wa kiume tangu tarehe 2 mwezi huu Wa Tatu. Ila mtoto tangu amezaliwa hafumbui macho, hawezi kunyonya, hatikisiki yaani viungo vya mkono na miguu havitikisiki. Maziwa anapewa kupitia mabomba. Ila anapumua na kupata choo . Naomba msaada wenu. Kama kuna hospitali au daktari ambaye ni specialist Wa watoto naomba nielekezwe.