Mtoto wangu tangu amezaliwa hafumbui macho wala hatikisiki

86lnd

Member
Oct 12, 2014
85
16
Habari wakuu! Mke wangu amejifungua mtoto Wa kiume tangu tarehe 2 mwezi huu Wa Tatu.

Ila mtoto tangu amezaliwa hafumbui macho, hawezi kunyonya, hatikisiki yaani viungo vya mkono na miguu havitikisiki.

Maziwa anapewa kupitia mabomba. Ila anapumua na kupata choo. Naomba msaada wenu. Kama kuna hospitali au daktari ambaye ni specialist Wa watoto naomba nielekezwe.
 
Habari wakuu! Mke wangu amejifungua mtoto Wa kiume tangu tarehe 2 mwezi huu Wa Tatu. Ila mtoto tangu amezaliwa hafumbui macho, hawezi kunyonya, hatikisiki yaani viungo vya mkono na miguu havitikisiki. Maziwa anapewa kupitia mabomba. Ila anapumua na kupata choo . Naomba msaada wenu. Kama kuna hospitali au daktari ambaye ni specialist Wa watoto naomba nielekezwe.
Alijufungulia hospitali?
 
Habari wakuu! Mke wangu amejifungua mtoto Wa kiume tangu tarehe 2 mwezi huu Wa Tatu. Ila mtoto tangu amezaliwa hafumbui macho, hawezi kunyonya, hatikisiki yaani viungo vya mkono na miguu havitikisiki. Maziwa anapewa kupitia mabomba. Ila anapumua na kupata choo . Naomba msaada wenu. Kama kuna hospitali au daktari ambaye ni specialist Wa watoto naomba nielekezwe.
Mzazi pole Sana.

Endelea Kumuombea na kutafuta Msaada Zaidi, nadhani wapo Watakaokuja na Msaada wap unaweza kupata Matibabu kwa Tatizo hilo la Mtoto.

Natakannikuhakikishie tu ......
Kila kitu kinawezekana
 
Daktari hakumfanyia initial assessment mara baada ya kujifungua? Hata hivyo kamuone daktari wa watoto paediatrician.
Daktari kamuanzishia dozi ya sindano lakini hali bado IPO vilevile. Daktari Wa watoto sijajua nampata hospitali gani
 
Habari wakuu! Mke wangu amejifungua mtoto Wa kiume tangu tarehe 2 mwezi huu Wa Tatu. Ila mtoto tangu amezaliwa hafumbui macho, hawezi kunyonya, hatikisiki yaani viungo vya mkono na miguu havitikisiki. Maziwa anapewa kupitia mabomba. Ila anapumua na kupata choo . Naomba msaada wenu. Kama kuna hospitali au daktari ambaye ni specialist Wa watoto naomba nielekezwe.
Ukisali omba sana mungu atamtia nguvu ,Japo hukutaja una ishi wapi ila kama una uwezo nenda mtwara masasi kuna hospitali imefunguliwa na wachina ni madaktar wazur sana huenda akapata matibabu ..
 
Daktari kamuanzishia dozi ya sindano lakini hali bado IPO vilevile. Daktari Wa watoto sijajua nampata hospitali gani
Kwani uko wapi? Muhimbili wapo lakini pia private hospitals utawapata.
 
Ukisali omba sana mungu atamtia nguvu ,Japo hukutaja una ishi wapi ila kama una uwezo nenda mtwara masasi kuna hospitali imefunguliwa na wachina ni madaktar wazur sana huenda akapata matibabu ..
Amejifungulia hospitali ya Kilwa masoko
 
Nadhani hatua za Haraka ni kumtoa Huko na Kumleta Muimbili kama Mawazo ya wengi yanavyokushauri.

All the Best Kamanda...
 
Back
Top Bottom