Habarini wanajamvi
Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.
Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.
Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.
Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.
Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.
Asanteni.
Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.
Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.
Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.
Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.
Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.
Asanteni.