Msaada Mtoto wa Miezi Sita Anapata Shida Kupumua Usiku na Uzito Kutoongezeka

Nilijara2

Member
Oct 26, 2022
23
22
Habarini wanajamvi

Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.

Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.

Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.

Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.

Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.

Asanteni.
 
Habarini wanajamvi

Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.

Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.

Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.

Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.

Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.

Asanteni.
Wa kwangu alianza kupungua uzito ghafla na kupumua kwa shida kufuatilia kumbe Ana tatizo la Moyo.
 
Habarini wanajamvi

Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.

Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.

Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.

Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.

Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.

Asanteni.
Mpeleke hospital aonwe na daktari bingwa wa watoto
 
Mkuu nakushauri mpeleke mtoto kwa specialist wa watoto.,
Private hospital...
Wachana na hospital za government.

Mtoto wangu alikuwa anaumwa, malaria ,
akapelekwa government hospital,
Wakati yupo kwenye foleni ya kumwona daktari akatapika sana,
Ikapelekea apelekwe kwa daktari haraka sn.

Doctor bila kumpima au kufanya uchunguzi wa kina ,
akaandika transfer kwenda hospital ya wilaya Mwananyamala hospital.

Kwa kweli walinijambisha sn Mwana nyamala hospital..

Napo kufika huko, manesi kumuangalia machoni mtoto,
wakasema hana damu ,,

Dah!! ilikuwa taharuki ya hali ya juu.,
Mbaya zaidi mtoto mishipa haionekani,

Baada ya purukushani za hapa na pale hatimae mishipa ikaonekana wakamuweka damu.,
Alilazwa kwa siku 3,
tukaruhusiwa kurudi nyumbani..

Nikapata wazo kwenda private hospital.
kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Sikuridhika na jinsi walivyompima hata kupata majibu ya kwamba mtoto wangu ana sickle cell.

Kufika private hospital walimpima Kila kitu,,
wakagunduwa hakuwa na sickle cell wala upuuzi wowote..
Hata damu aliyowekewa hakustahili kuwekewa.,
Alipaswa apewe syrup ya kuongeza damu na sio kuongeza blood ya mtu mwingine kwa drip.

Wakasema asitumie dawa zozote hadi miezi 3 nimrudishe tena hospital wampime tena.

Hawa madaktari wetu government hata sijuwi wapo pale kwa maslahi ya nani.
Wanaweza wakampa mtoto wako ugonjwa ambao wala hana,
Pengine ni tatizo dogo,wakalikuza na kuwa kubwa.

Namshukuru ALLAH,,
ALHAMDULILAH,,yupo ok hadi Sasa..

Nenda private hospital tafuta daktari wa watoto.
 
Habarini wanajamvi

Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.

Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.

Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.

Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.

Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.

Asanteni.
mpelekee mtoto hospital haraka sana
 
Mkuu nakushauri mpeleke mtoto kwa specialist wa watoto.,
Private hospital...
Wachana na hospital za government.

Mtoto wangu alikuwa anaumwa, malaria ,
akapelekwa government hospital,
Wakati yupo kwenye foleni ya kumwona daktari akatapika sana,
Ikapelekea apelekwe kwa daktari haraka sn.

Doctor bila kumpima au kufanya uchunguzi wa kina ,
akaandika transfer kwenda hospital ya wilaya Mwananyamala hospital.

Kwa kweli walinijambisha sn Mwana nyamala hospital..

Napo kufika huko, manesi kumuangalia machoni mtoto,
wakasema hana damu ,,

Dah!! ilikuwa taharuki ya hali ya juu.,
Mbaya zaidi mtoto mishipa haionekani,

Baada ya purukushani za hapa na pale hatimae mishipa ikaonekana wakamuweka damu.,
Alilazwa kwa siku 3,
tukaruhusiwa kurudi nyumbani..

Nikapata wazo kwenda private hospital.
kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Sikuridhika na jinsi walivyompima hata kupata majibu ya kwamba mtoto wangu ana sickle cell.

Kufika private hospital walimpima Kila kitu,,
wakagunduwa hakuwa na sickle cell wala upuuzi wowote..
Hata damu aliyowekewa hakustahili kuwekewa.,
Alipaswa apewe syrup ya kuongeza damu na sio kuongeza blood ya mtu mwingine kwa drip.

Wakasema asitumie dawa zozote hadi miezi 3 nimrudishe tena hospital wampime tena.

Hawa madaktari wetu government hata sijuwi wapo pale kwa maslahi ya nani.
Wanaweza wakampa mtoto wako ugonjwa ambao wala hana,
Pengine ni tatizo dogo,wakalikuza na kuwa kubwa.

Namshukuru ALLAH,,
ALHAMDULILAH,,yupo ok hadi Sasa..

Nenda private hospital tafuta daktari wa watoto.

Huko private napo kuna upuuuzi mwingi pia

Kikubwa siyo hospital ni Daktari sahihi.
 
Habarini wanajamvi

Nina mtoto wangu ana umri wa 6 month, ila baada ya mwezi mmoja mtoto alianza kua kama na mafua na kupata shida ya kupumua (anakua kama anakoroma akiwa anapumua) hasa wakativwa usiku japo hata mchana pia.

Tumeenda hospital kama mala 3 na kila wakimpima wanakuta hana tatizo na wananipa dawa za antibiotics tu na drops za kuweka puani ili mafua yasigande.

Sasa tangu wiki iliopita hali iliongezeka zaidi usiku anahangaika kulala sababu anapata shida kupumua na kijasho kinamtoka sana wakati hakuna joto, hata akiwa ananyonya lazima kijasho kimtoke hata kukiwa na baridi.

Madaktari na watu wenye ujuzi naomba mnisaidie tafadhari, sababu hii hali ya mtoto wangu inaninyima raha kabisa sababu akianza kushindwa kupumua hatulali hadi naskia uchungu.

Pia swala la mwisho ni tangu afikishe miezi 5 uzito wake ukawa ni kilo 6 na tangu hapi hadi muda huu anakaribia miezi 7 ila kila nikienda krinik uzito ni ule ule kg6 hauongezeki, tafadhari msaada wenu nifabye nini katika hili sababu mahali nilipo hakuna madaktari bingwa wa watoto.

Asanteni.
Mahonjwa ya moyo pia huwa na dalili hizi, ni muhimu kumuona daktari maalum wa watoto mapema na kumweleza matatizo haya na kumgusia kuwa wamscreen moyo wake
 
Hospitali ila ilikua ya wilaya tu na hata hawakumpima zaidi ya kufanya full blood picture tu na wakasema hana ugonjwa wowote
Dalili za mwanao ni dalili alizopotia mtoto wangu, ndio maana nimekwambia mcheck mtoto tonsils na nyama za pua.

Nenda kwa dr wa watoto
Mwambi hiyo FBP umepima hamna kitu. Wamcheck tonsils na pua
Au nenda kwa daktari wa pua na kinywa..
 
Back
Top Bottom