Mtoto wangu tangu amezaliwa hafumbui macho wala hatikisiki

Pole sana kwa matatizo yanayomsumbua mtoto wako. Mimi ningeomba kuuliza...je kabla hajazaliwa mama alikuwa anapata/kusikia mtoto akicheza tumboni kama kawaida? Na je amezaliwa kwa njia yakwaida au upasuaji? Mwisho ujauzito ulikuwa umekamilika? Nikimaanisha amezaliwa kipindi chake Na sio kawahi au kachelewa kuzaliwa?
Daktari anasema "Amezaliwa akiwa amezidisha umri Wa kukaa tumboni. Amezaliwa akiwa na miezi kumi"
 
Kuna dr mzuri wa watoto anaitwa dr Richard yuko muhimbili yy ni kiboko njoo pm nikupe no yake yan anaubinadamu kuliko unavyojua ww hat kumtaka ushaur kwa cm anapokea anakushauri hat kam ni usk ni zaid ya dr
 
Kuna dr mzuri wa watoto anaitwa dr Richard yuko muhimbili yy ni kiboko njoo pm nikupe no yake yan anaubinadamu kuliko unavyojua ww hat kumtaka ushaur kwa cm anapokea anakushauri hat kam ni usk ni zaid ya dr
habari! Nisaidie hiyo namba ya docta Richard
 
Mkuu mpeleke muhimbili muone daktari Wa watoto anaitwa kuboja ni specialalist wa watoto
 
Ameanza kutikisa miguu na mikono .hawezi kunyonya mwenyewe wala halii .
Bado uko hapo Kilwa Masoko? Wanakwambia shida gani inapelekea hali hiyo?

Situation sio ngeni lakini hiyo imezidi, jitahidi kufanya uamuzi sahihi.
 
Bado uko hapo Kilwa Masoko? Wanakwambia shida gani inapelekea hali hiyo?

Situation sio ngeni lakini hiyo imezidi, jitahidi kufanya uamuzi sahihi.
Daktari hajaweka bayana tatizo la mtoto. Japo kuna Nesi kaniambia mtoto ameathirika kichwani kutokana na complication during deliver. Ila daktari hajatuambia chochote
 
Omba rufaa ya kwenda Muhimbili. Wakikuzingua mchukue mtoto mpaka pale Emergency Medical Department (MED) Muhimbili. Watampokea na kumpa Huduma. Hawanaga hiyana especially kwa mgonjwa mahututi. Huko watamchumguza na kujua tatizo. Miezi miwili ni mingi. Mtoto anahitaji awaone madaktari bingwa sasa. Ni fighter huyo mtoto. Hajakata tamaa. Sasa ni jukumu lenu kama wazazi kuchukua hatua zaidi. Kila la heri.
 
pole sana Ndugu...Mama Alijifungua kwa njia gani kwani,labda mtoto alivutwa au?
 
Back
Top Bottom