Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Wakuu kwema?
Kama tunavyojua watoto walivyo, hawana aibu, wanafanya kile wanajisikia kwa wakati huo, japokuwa kuna wengine wananya kukukomesha. Wanajua mama/baba huwa hataki kuninunulia kitu fulani mkifika supermarket anapiga kelele duka zima wanasikia analilia mdoli😂😂.
Ama unajua mtoto wako huwa hali kitu fulani, unakaribishwa umpe mtoto, unasema mwanangu huwa halagi hivi, picha linaanza mwanao alaililia na kula kitu!
Vipi mdau, ni tukio gani mtoto wako aliwahi kukuabisha mbele za watu?
Kama tunavyojua watoto walivyo, hawana aibu, wanafanya kile wanajisikia kwa wakati huo, japokuwa kuna wengine wananya kukukomesha. Wanajua mama/baba huwa hataki kuninunulia kitu fulani mkifika supermarket anapiga kelele duka zima wanasikia analilia mdoli😂😂.
Ama unajua mtoto wako huwa hali kitu fulani, unakaribishwa umpe mtoto, unasema mwanangu huwa halagi hivi, picha linaanza mwanao alaililia na kula kitu!
Vipi mdau, ni tukio gani mtoto wako aliwahi kukuabisha mbele za watu?