Mtoto wa RUGE amuombea samahani Baba yake

Mtoto wa RUGE amuombea samahani Baba yake

Hii wewe binafsi inakuathiri vipi?
Infact, Kuoa/kuolewa sio kitu cha lazima duniani. Je, ametelekeza watoto? Aliwabaka hao wazazi wenzie au ilikua ridhaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi uwe tayari kusikia na upande wa pili sio kutegemea kusikia jambo kwa upande mmoja
 
Mara zote watu hutaja yale mazuri aliyopata kufanya deceased one ili watu wajifunze, yale negative hayana haja ya kutajwa kwa lengo la kumhukumu. Mtu akifa ameshakufa na hawezi kupoke au kijibu tuhuma yoyote as we know dead people tell no tells. Ruge has gone for glory!
Kwani mabaya yakitajwa watu hawajifunzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Followers ni wasanii, media na siasa na wengine mkumbo tu



Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Mkurugenzi wa vipindi na uendeshaji wa Clouds aliyefariki dunia hivi karibuni anatoa funzo kubwa sana kwa vijana. Funzo hilo ni kutengeneza network halisi katika maisha.

Ruge hakuwa na accounts zenye followers wengi instagram, twitter au kwingineko na badala yake alikiwa na wafuatiliaji halisi katika maisha halisi kupitia yale aliyoyafanya wakati wa uhai wake.

Juzi nilipita katika vijiwe mbalimbali ambapo nilikutana na mijadala mingi kutoka kwa watu wa kawaida wakihoji kwani Ruge ni nani hasa, mbona msiba wake umegusa watu wengi sana hasa viongozi wakuu wa taifa letu?

Nilichojifunza kwenye maisha ya Ruge ni kuwa alitumia muda wake mwingi kufanya mambo ambayo yaliigusa jamii iliyomzunguka moja kwa moja pia alifanya mambo mengi kwa ajili ya taifa lake. Na hili limejidhihirisha katika kipindi hiki akiwa hayupo nasi tena, kwa namna watu walivyoubeba msiba wake kama shujaa.

Ujumbe wangu vijana tuache kuchapisha mambo yasiyoeleweka kwenye mitandao ya kijamii na badala yake tufanye kazi zitakazotuletea followers halisi wenye kuguswa na maisha yetu na michango yetu chanya.

Rest in Peace Ruge your Legacy will remain forever!
Tungekua na Viongozi makini katika nchi hii Ruge asinge mulikwa kiasi hiki..... alivyo fanya nivyakawaida sanaa isipokua alikua na Media kila halicho fanya kilitangazwa akafunika wengine....ila huwezi kumlinganisha na nurse/mtumishi kijijini unae zalisha wakinamama kutoka vijiji vitano vinamtegemea na mshahara wake duni ila inatumikia jamii.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kugusa jamii ni kua bachela ukiwa na miaka 49? Na watoto 5 sio? Kuishi kihuni?
Kuoa sio suala la lazima. Ruge angeoa akiwa na miaka 28 wewe ungefaidika nini?

- KANA -
 
Kuoa sio suala la lazima. Ruge angeoa akiwa na miaka 28 wewe ungefaidika nini?

- KANA -
Ningefaidika maana usingeuliza swali la kindezi kama hili ulilouliza hapa
 
Tungekua na Viongozi makini katika nchi hii Ruge asinge mulikwa kiasi hiki..... alivyo fanya nivyakawaida sanaa isipokua alikua na Media kila halicho fanya kilitangazwa akafunika wengine....ila huwezi kumlinganisha na nurse/mtumishi kijijini unae zalisha wakinamama kutoka vijiji vitano vinamtegemea na mshahara wake duni ila inatumikia jamii.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Network ni network tu kinachotakiwa ni positivity, Waliomlilia Ruge ni wale walioguswa na maisha yake kwa namna moja au nyingine. Watu wana followers kwenye mitandao ya kijamii lakini hao followers hawaexist kwenye maisha halisi. Make real followers who are existing in your real life.
 
Back
Top Bottom