Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,144
akuongezi chochote Yesu ana heshima yake kubwa isio mithilika lakini akuoaNimesema wapi kuoa ni lazima? Una uhakika kuoa hakuongezi kitu?
akuongezi chochote Yesu ana heshima yake kubwa isio mithilika lakini akuoaNimesema wapi kuoa ni lazima? Una uhakika kuoa hakuongezi kitu?
Kapiga sana punane zanu huyu jamaa sivyo?Tena wa mama tofauti.
ndo hapo sasa, watu wanaweweseka mtu kuzaakwani kuna ubaya au kavunja katiba
kwahio mkuu mtu akikwambia umuongelee mzee Mandela utasemaje??Hivyo ni vitu vinavyoenda at par huwezi kuzungumzia kitu kwa upande mmoja huo ni unafiki..
Kugusa jamii ni kua bachela ukiwa na miaka 49? Na watoto 5 sio? Kuishi kihuni?
dah mkuu umenisikitisha Sana...Kwa hiyo ni lazima kuoa hata kama unakuwa na mahusiano na wanawake washenzi washenzi?...ili mradi umeoa?Kugusa jamii ni kua bachela ukiwa na miaka 49? Na watoto 5 sio? Kuishi kihuni?
Ni kama vile watu walivyokiwa wanafuata mkumbo kumtaka Lowasa awe rais...lakini ukiangalia kwa jicho lingine hana cha maana ambacho angefanya....na kama angekuwa rais 2015 muda huu kila mtu angekuwa hana hamu naye tena!...Wabongo tumelogwa na nani sijuiMimi sidhani kama alikuwa mtu aliyefanya mambo exceptional sana. Naona utamaduni wa watanzania wa kufuata mkumbo zaidi uki-play part. Na fuata mkumbo imekolezwa zaidi na makundi matatu: vyombo vya habari, wanasisa na wasanii. Haya makundi kwa hapa Tanzania ndiyo yaliyojaa watu wababaishaji na wachumia tumbo lakini cha ajabu ni kuwa jamii ya watanzania inaonekana kuwaamini na kuwakabidhi hatima ya nchi!
Siyo wanawake wote unaweza kuishi nao acha uboya....Hao watoto 5 alishindwaje kuishi na huyo mwanamke (wanawake?) katika maisha binafsi alikuwa na tatizo . Nani ataiga hayo maisha binafsi ? Hongera kwa kazi za kijamii
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jiwe wako Kuna mtu ana hamu naye Tena nchi hii...Ni kama vile watu walivyokiwa wanafuata mkumbo kumtaka Lowasa awe rais...lakini ukiangalia kwa jicho lingine hana cha maana ambacho angefanya....na kama angekuwa rais 2015 muda huu kila mtu angekuwa hana hamu naye tena!...Wabongo tumelogwa na nani sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya wewe tuoneTungekua na Viongozi makini katika nchi hii Ruge asinge mulikwa kiasi hiki..... alivyo fanya nivyakawaida sanaa isipokua alikua na Media kila halicho fanya kilitangazwa akafunika wengine....ila huwezi kumlinganisha na nurse/mtumishi kijijini unae zalisha wakinamama kutoka vijiji vitano vinamtegemea na mshahara wake duni ila inatumikia jamii.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaolalamika kuhusu kuoa kwa Ruge ni wanawake wahanga.....achana naoKuoa sio suala la lazima. Ruge angeoa akiwa na miaka 28 wewe ungefaidika nini?
- KANA -
Nakubaliana na wewe in a wayDefinitely yes, but they are real and not artificial like those of mass youth of the today.
Kunaongeza matatizoNimesema wapi kuoa ni lazima? Una uhakika kuoa hakuongezi kitu?