Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,624
- 39,995
YEHODAYA, Kumbe kuna serikalini kuna visasi namna hiyo, naanza kuwaogopa watu wa serikali.Kuna kitu kinaitwa funeral behavior watu wanatakiwa kufundishwa kuwa ukifiwa you need to behave yourself.Sio sehemu ya Ku misbehave ile.Taabu wengine wakifiwa hunywa pombe Kali au kuvuta Bangi eti apate steam ya msiba matokeo yake aweza misbehave.Kama kweli kufanya hivyo ita mcost labda asiwe na deal yeyote na serikali au ajira serikalini wataondoka na hiyo video na kuiweka kumbukumbu for years ya Kula naye sahani moja
Sent using Jamii Forums mobile app