Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,300
Hauwezi hilo liko waziKUfa sasa tuone kama msiba wako utakuwa kama wa Ruge
Ni'mewakubaliKweli kabisa mkuu. Hao ni wasomi wa kabla ya Google. Wapo vizuri sana kichwani.
Hahaa poli-TIKISNimejiinfunza kuwa wanafiki wenye madaraka wanabadilika haraka sana pia....
Sent using Jamii Forums mobile app
kama unamjua ruge ungeandika kuhusu yeye suburi mbowe afe nae uandike kuhusu yeye!
Hapana prof Lady sio uhai tu Money can't buy respect money can't buy 'utu' nk......pia mshamba hata hakiwa na pesa hata baki kua mshamba siku zote.....'pesa sio kila kitu'
Thankiu,Hapana prof Lady sio uhai tu Money can't buy respect money can't buy 'utu' nk......pia mshamba hata hakiwa na pesa hata baki kua mshamba siku zote.....'pesa sio kila kitu'
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, wewe unahisi nini kimesababisha huku kwa mutahabq haijatokea coz kuna wasomi wengi lakini bado ni limbukeni wa mitandaoKweli mkuu, misiba ya wasiojua matumizi ya simu wao wanapiga picha mda wa kuaga yaani ni maajabu hasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongelea kuweka kila aina ya picha mitandaoni, then unauliza kwa nini Mauki?
Lakini kaongea ukweli... imenisaidia kuweza kuuona umuhimu wa mbowe kabla hata hajafa
Huo mkono wako una nini unatema dhahabu?Acha mikwara wewe kwani yeye nani???
Hata Mimi siwezi kumpa mkono wangu
Hatakufa bali ataishi kwa uwezo wa Mungu ili aweze kuyatenda Makuu ambayo Mwenyenzi Mungu amempangia kuyafanya hapa Duniani.whats your point?
Akifa nae apewe heshima na sifa kama Ruge?
Kama uko serious mwimbie Mbowe mapambio mengi wema wake ujulikane na mwambie aguse vijana wengi zaidi..
Una thamani kuliko huo ujinga wenuHuo mkono wako una nini unatema dhahabu?
Alikuwa kabeba mtoto aliyekuwa amelalia mkono wa kulia.macho yenu yana shidaHata Mimi niliiona hiyo "scene"
Huyo mdada ajiandae kwa visasi vyake huyo Jiwe atakavyomuwekea