Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,895
- 11,788
Mtoto wa miaka 13, Angel Wariael Noel, ambaye alipata madhara kutokana na tukio la Oktoba 29, kwa kupigwa risasi ya bega iliyomuathiri uti wa mgongo na kumsababishia ulemavu wa miguu. Familia yake inawaomba wadau na watu watakaoguswa kuchangia ili kumsaidia kumudu gharama za matibabu na mahitaji. Ikiwezekana pia hata kupata msaada wa matibabu zaidi nje ya nchi ili kumsaidia Angel kurejea katika hali yake ya kawaida.
Yeyote atakayeguswa na hali hii, tafadhali wasiliana na mama yake mzazi kupitia namba: +255 763 747 599 (HAPPINESS MELEA).
Source:
View: https://www.instagram.com/reel/DUvgKyojKQ6/
View: https://youtu.be/3CY0AIZrKJE?si=XOD0wmVs_uXXWX_f
Yeyote atakayeguswa na hali hii, tafadhali wasiliana na mama yake mzazi kupitia namba: +255 763 747 599 (HAPPINESS MELEA).
Source:
View: https://www.instagram.com/reel/DUvgKyojKQ6/
View: https://youtu.be/3CY0AIZrKJE?si=XOD0wmVs_uXXWX_f