thomasi_mushi
Senior Member
- Feb 15, 2014
- 150
- 41
Ngoja wamuuwe na yeye sasa anacheza na ccm!
Tuishie hapoBaba yako alibeba dhamana ya maisha ya watanzania.? Unatakiwa kuwa jasiri kila mtu ataondoka wakati ukifika. Ni haki kwa vizazi vinavyobaki kutambua Na kuheshimu the values of their departed once.
yupo sahihi kabisa,kwani walikuwa wapi hadi waje kusema leo kuhusu kifo cha mgimwa ?
hakuna sirI mgimwa alipewa sumu na naibu waziri wake akataka kutoa siri wakampa ulaji na sasa ni waziri kamilinapendekekeza mwili wake ufukuliwe upimwe unaweza kuta sumu iliyotumika ni ile ya Mwakyembe...ccm ni mashetan
Huyo achana nae, wamempooza na ubunge katulia kama ananyolewa vile. Hawa watoto wengine tunaowazaa baadhi wanatugeuka na kutuuza. Pole mzee Mgimwa huko uliko ujue ulizaa jambazi.Huyu kijana wa mgimwa Ni pumbavu Sana babake amekufa kwa ajili ya watanzania yeye anakubali kinunuliwa Na mafisi Ili kusafisha mambo.lakini najua moyoni anaumia ila ndio hivyo nguvu ya pesa imemtoa kwenye mstaru.
Dogo usikubali kutumiwa Kama tp Ni bora ukae kimya Kama unapenda kuendelea kujipendekeA kwa hai manyang'au yaliyokupa ubunge kuliko kusimama mbele ya hadhira kujikosha mbele ya ccm.hivi nikuulize Kama Una akili unamjua aliyemuua baba yako?
Ni ccm Na majambazi wenzake Kama ilikuwa hujui.
Mkuu, katika kashfa ya Watergate, nikikumbuka vizuri,nafikiri mwanasheria wa serikali ya Marekani, baada ya kubanwa na waandishi wa habari, alisema wazi wazi "can you handle the truth?".Kuna madai ya watu kuwatoa kafara watoto wao, wake zao au hata wazazi wao ili waweze kufikia mafanikio wanayouataka.
Hili la mtoto wa Mgimwa kugoma kabisa kifo cha utata cha baba yake kisijadiliwe huku akijua kuwa anajadiliwa kama Waziri kama anavyoongelewa Hayati Baba wa Taifa ambaye pia anao watoto lakini haionekani kwamba si busara kumjadili baba wa taifa kama inavyotaka kuoneshwa kwamba ni Nongwa kumjadili Mgimwa eti kwa kuwa ameshafariki.
Hii inanitia shaka sana huenda alishirikishwa kwa malipo ya Ubunge.
Ni mawazo tu kwasababu haya mambo yapo.