Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda alishirikishwa katika kufanikisha kifo cha Mdingi. Anaogopa ikijadiliwa, ataumbuka.
yule dogo ni bure kabusa. unaleta u-baba kwenye hoja ya msingi?
Kuna madai ya watu kuwatoa kafara watoto wao, wake zao au hata wazazi wao ili waweze kufikia mafanikio wanayouataka.
Hili la mtoto wa Mgimwa kugoma kabisa kifo cha utata cha baba yake kisijadiliwe huku akijua kuwa anajadiliwa kama Waziri kama anavyoongelewa Hayati Baba wa Taifa ambaye pia anao watoto lakini haionekani kwamba si busara kumjadili baba wa taifa kama inavyotaka kuoneshwa kwamba ni Nongwa kumjadili Mgimwa eti kwa kuwa ameshafariki.
Hii inanitia shaka sana huenda alishirikishwa kwa malipo ya Ubunge.
Ni mawazo tu kwasababu haya mambo yapo.
Mnyika angewashauri CHADEMA wachunguze kwanza kifo cha WANGWE.
Mkuu, sijui kama umewahi kupoteza nguzo ya maisha yako
The best thing ikitokea kitu kama hicho ni kuomba amani na utulivu kwako na kwa Marehemu, you let the dead one rest in peace
Mimi nilipoteza mzazi, na hakuna kitu napenda kama kumuacha mzazi wangu apumzike kwa amani, nilishaambiwa kwamba kifo chake kilitengenezwa kwasababu ya info alizokua nazo, but i am more relaxed leaving the past be the past than having my parent death become a subject
Nyie wengi hapa ni wanafiki.
Baada ya Mgimwa kufariki mnataka mmtumie ili kufanikisha malengo yenu ya kisiasa.
Huyu lancashire anasema Prof.Mgimwa alikufa kwa ajili ya taifa. Kipindi yuko hai si ndie nyie nyie mlitumika kumtukana, kumkebehi na kuonyesha wazi kuwa hamridhishwi na kazi yake. Leo hii amefariki ndio mnajifanya mnampenda kuliko hata mwanawe. Acheni unafiki
Jifunzeni kum-appriciate mtu akiwa hai.
Mgimwa amelala, aachwe apumzike.
Mkuu hapa ukifanya uchunguzi Ni kupoteza tena pesa ya walipa kodi WA nchi hii. Ccm Na mafisadi ndio walimuua Na Ni kwa sababu alizuia ulaji .periodMgimwa alikuwa kiongozi mwadilifu na mchapa kazi. Historian yake inajulikana. Ni muhimu kama taifa likafanya uchunguzi kujua hasa kifo chake kilisababishwa na ni ni?! Hii itasaidia mawaziri wajao wasikutwe na haya.yaani inawasaidia waliobaki kufahamu ukweli na kujilinda. Mbona watu wakiuwawa uchunguzi unafanyika na mashtaka yanafunguliwa bila kuwauliza ndugu wanasemaje.