Kilimo atakiwezea wapi wakati hajawahi hata kulima bustani ya mchicha....Ingia kwenye kilimo mkuu,,,sheria tuache wenye fani yetu
Darasani si alikua anajitahid lakin?Aiseeee pole yake jamaa nilisoma naye st.Matthew's high school nilimaliza naye form 6 mwaka 2013, kwa ninavyokumbuka jamaa alikuwa anatetea maslahi ya wanafunzi pale shule na bado nusura tu atimuliwe na mwenye shule, leo hii ni serikali duuuuhhh.
siasa sio nzuri kweli
Cc. Real G
Sawa mwenzako anaumia we unaona mafanikio. Wenye utashi bana tuko complex sn.Huyu kijana namfahamu toka akiwa mtoto maana baba yake alikua jirani yangu, huyu kijana anapitia alopitia baba yake chacha rasta, sins asili ya unabii but naona mafanikio makubwa kwa kijana huyu
Pole Mkuu kwa hicho kilichotokea kwa huyo mdau uliyemjibu kwa upole na hekima kubwa! Nilitaka nikujibie lakini nilivyoona hekima uliyotumia ikabidi nirudi nyuma! MUNGU akuongoze Mkuu!Asante Mkuu, nitauzingatia ushauri wako.
angekupa fani mbadala sasa kiongozi...Asante Mkuu, nitauzingatia ushauri wako.
Amenishauri nijaribu cateringangekupa fani mbadala sasa kiongozi...
Hahaa ungepiga nawewe "Bro is coming"Pole sana mdogo wangu Bob Chacha Wangwe. Be strong, your brother is around! I hope umelipa faini.
Ni ushauri mzuri Mkuu TASK FORCE. Lakini, kilimo nacho huwa najikongoja tangu mwaka 2005. Mkuu, nikiacha nilichosomea kwa ngazi mbalimbali na kufaulu vyema, nitajisikiaje? Nionee huruma Mkuu.
huko nako kukubwa, upishi au kuandaa meza au kuosha vyombo....Amenishauri nijaribu catering
Chadema muokoeni kamanda ili asinyee debe
Sasa badala uendee ukamlipie mdogo wako faini wewe unamfariji kwenye keyboard? Hii namna haifai.Pole sana mdogo wangu Bob Chacha Wangwe. Be strong, your brother is around! I hope umelipa faini.
Leo nimeamini kua wewe ni wakili msomi, maana ningekua mimi kwa jinsi ninavyojijua ningemtolea povu mpaka mishipa ya shingo ingeonekana.Asante Mkuu, nitauzingatia ushauri wako.
Ha ha haaaa... Umeona kama Mimi, ningemnyoosha!!Ndio maana napenda busara zako, ila ingekuwa ndio mimi hapa yaani huyu Fao La Kujitoa angenitambua
Hata wewe huwa nakufuatilia comments zako sio mshari una busara nyingi tu kama za Petro E. Mselewa nina uhakika hata wewe ungempotezea tu huyu Fao La Kujitoa! hahahahahahahahaha.Ha ha haaaa... Umeona kama Mimi, ningemnyoosha!!