Leo nimeamini kua wewe ni wakili msomi, maana ningekua mimi kwa jinsi ninavyojijua ningemtolea povu mpaka mishipa ya shingo ingeonekana.
Leo nimeamini kua wewe ni wakili msomi, maana ningekua mimi kwa jinsi ninavyojijua ningemtolea povu mpaka mishipa ya shingo ingeonekana.
Ha ha ha ha haaaa.... Yaani nilivyosoma tu ile sentesi yake ya mwisho hasira zikapanda!Hata wewe huwa nakufuatilia comments zako sio mshari una busara nyingi tu kama za Petro E. Mselewa nina uhakika hata wewe ungempotezea tu huyu Fao La Kujitoa! hahahahahahahahaha.
Ndio hivyo hapa tuko mchanganyiko wa watu wa tabia mbalimbaliHa ha ha ha haaaa.... Yaani nilivyosoma tu ile sentesi yake ya mwisho hasira zikapanda!
Unapiga 'apron' unasevu ugali kisamvu.Asante Mkuu, nitauzingatia ushauri wako.
Kaka Petro haya uliyoyasema yapaswa kufanywa na yoyote hata kama sio verified user. Ukiona mtu haheshimu wenzake hata kama hawamjui au anatumia id ya kubumba huyo hajiheshimu tu. Haipaswi kutukanana, kutoa lugha ya kuudhi wala kumdharau mwenzio hata kama hamjuani wala kuonana.Wakuu barafu na NAHUJA, upo muda katika maisha unabidi kujibu kama nilivyojibu. You know why? Mimi ni verified user humu JF, tofauti na wenzangu wenye ID zisizo verified. Wapo wanaonijua na hata kuniheshimu. Najua pia wapo wanaonijua na hawaniheshimu. Hayo yote ni maisha. Katika hayo yote, nakuwa makini sana na kauli zangu kwa wengine na hata kwangu binafsi. Tangu nimejiunga JF, sikuwahi kumdharau, kumtusi wala kumkejeli yeyote. Kwakuwa, sote tupo humu kuelimishana, kupashana habari, kukosoana, kusameheana, kushauriana, kujadiliana na kurekebishana. Ukweli ninaouamini kwangu ni chakula cha kila siku uwe unamkwaza mtu au unamfurahisha.