aiseee, uzuri wa mtoto kamfanania mama kila kitu.Alikuwa benet saana na mtoto wa mwakasege (marehemu Joshua Chriss)
Na huyo brazamen alishafuta picha zake zimebaki picha za huyo marehemu Joshuachriss
Nilipanga niende leo kwa semina sidhani kama leo atahudumu
Mnooo bonge la mwalimuIn short huyo jamaa hamjui mwakasege,kwa anayemfahamu hawezi kusema maneno ya namna hiyo,Mwakasege si sawa na akina Gwajima,Boniface Mwamposa,Frank Kilawa,GeoDavie,wala Mzee wa upako,Mwakasege ni mwalimu,anafundisha watu wote!
Hana dhehebu/hekalu lake binafsi,anakufundisha ukielewa nenda katafute sehemu itakayokufaa kumwabudu Mungu wako!
Ni miongoni mwa watu wachache sana wenye vipaji vya kuichambua biblia na kukufanya uelewe!!!
Mtoto wa kiume wa pekee hili ni pigo kubwa ndugu, ngoja tusubiri tuonenaamini atahudumu, asipohudumu inamaanisha shetani ameshinda, ninaamini hataacha kuhudumu
Kama unamfuatilia mwakasege utakubaliana na Mimi kuwa huwa Mara nyingi anafuata maelekezo anayopewa katika utumishi wake.najua ni ngumu zaidi ya maelezo, lkn hapa nikipimo chake cha kiwango cha kumjua anayemtumikia
Analo "dhehebu" la kijanjajanja...ana akili sana. Sadaka anakusanya, mafungu ya kumi anakusanya, utasemaje kuwa hana dhehebu lake binafsi? Semina zake ndio ibada zake, amecheza na akili tu ili asigombane na Lutheran lakini analo kanisa lake linaitwa Mana Ministry!In short huyo jamaa hamjui mwakasege,kwa anayemfahamu hawezi kusema maneno ya namna hiyo,Mwakasege si sawa na akina Gwajima,Boniface Mwamposa,Frank Kilawa,GeoDavie,wala Mzee wa upako,Mwakasege ni mwalimu,anafundisha watu wote!
Hana dhehebu/hekalu lake binafsi,anakufundisha ukielewa nenda katafute sehemu itakayokufaa kumwabudu Mungu wako!
Ni miongoni mwa watu wachache sana wenye vipaji vya kuichambua biblia na kukufanya uelewe!!!
R.i.pBwana Yesu asifiwe!
Nasikitika kukufahamisha habari ya msiba wa mtoto wa Mwalimu Christopher Mwakasege. Joshua amefariki.
Alidondoka jana akitoka kazini, akapoteza fahamu na leo amefariki muda mfupi uliopita.
Mwalimu ana Semina mkoa wa Mbeya na ndio mtoto pekee wa kiume. Sio pito Jepesi
Tuwakumbuke kwa maombi.
naamini atahudumu, asipohudumu inamaanisha shetani ameshinda, ninaamini hataacha kuhudumu
Hakika hili ni jaribu na lipite shetani ashindweCha msingi tumuombee maana ni pagumu anapopita
Mana ministry siijui mkuu,inawezekana ukawa sahihi coz sijawahi kusikia hilo dhehebu,na mara zote kwenye semina zake hana kawaida ya kujipambanua au kutangaza dhehebu lolote!Analo "dhehebu" la kijanjajanja...ana akili sana. Sadaka anakusanya, mafungu ya kumi anakusanya, utasemaje kuwa hana dhehebu lake binafsi? Semina zake ndio ibada zake, amecheza na akili tu ili asigombane na Lutheran lakini analo kanisa lake linaitwa Mana Ministry!