Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
R.I.P Joshua
Umaarufu acha tu. Ajali imehusisha watu wengi tena wengine wamekufa ila anatangazwa waziri tuPole yake, lakini mbona watu wanafariki kila siku? hata wewe ndugu zako si wanafariki, mbona huwa huleti humu? what for kwa mfano
Wapo watatu wa kike wote wameolewaLakini wa kike anao wengine!?
Mama yake mzazi alipofariki, mwakasege aliendelea na semina ya dar as alisema ndio maelekezo waliopewa. This time ni ngumu sana kwao na MANA. Mungu awatie nguvuMungu amtie nguvu amalizie semina ndipo aje kuendelea na msiba.
Hicho ndicho kipimo pekee cha mtu wa Mungu mwenye wito.
lilian alikuwa engaged wakati mjamzito, na brazamen flan hv white, hakuwa huyu!ila cku hz engagement za ujauzito mara nyingi zinaotaga mbawa.Sijui miss Tanzania..lilian kamazima ndio alikuwa mchumba wake..maana walikuwa wapo close saana
Lilian ana mtoto je ndio mwanaye au..mwenye info atusaidie..maana sijawahi ona ndoa yaoView attachment 895440
Ndiyo walikua na uhusiano.Sijui miss Tanzania..lilian kamazima ndio alikuwa mchumba wake..maana walikuwa wapo close saana
Lilian ana mtoto je ndio mwanaye au..mwenye info atusaidie..maana sijawahi ona ndoa yaoView attachment 895440
najua ni ngumu zaidi ya maelezo, lkn hapa nikipimo chake cha kiwango cha kumjua anayemtumikiaMama yake mzazi alipofariki, mwakasege aliendelea na semina ya dar as alisema ndio maelekezo waliopewa. This time ni ngumu sana kwao na MANA. Mungu awatie nguvu
Alikuwa benet saana na mtoto wa mwakasege (marehemu Joshua Chriss)lilian alikuwa engaged wakati mjamzito, na brazamen flan hv white, hakuwa huyu!ila cku hz engagement za ujauzito mara nyingi zinaotaga mbawa.
Nilipanga niende leo kwa semina sidhani kama leo atahudumuMungu amtie nguvu amalizie semina ndipo aje kuendelea na msiba.
Hicho ndicho kipimo pekee cha mtu wa Mungu mwenye wito.
naamini atahudumu, asipohudumu inamaanisha shetani ameshinda, ninaamini hataacha kuhudumuNilipanga niende leo kwa semina sidhani kama leo atahudumu
Basi lily kamazima ana bahati mbaya..mchumba mzazi mwenza walikuwa washaachana..akaja kwa mtoto wa mwakasege..naye bahati mbaya hatunaye..its sadNdiyo walikua na uhusiano.
Ndio wa kike anao pia mmoja wapo ni rubani wa ndegeLakini wa kike anao wengine!?