MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
isije ikawa yule nanihii wa hapa,,, si unajua dawa yake ile?
Hivi kuna wa hapa mh nsijeambiwa nimemmeza yeye lol ni Panadol
isije ikawa yule nanihii wa hapa,,, si unajua dawa yake ile?
Hivi kuna wa hapa mh nsijeambiwa nimemmeza yeye lol ni Panadol
[shhhhhhhhhhhh ni yule anayefungiaga watu (ban) pindi wakienda nje ya mstari,,usijesema sijakunong'oneza]
Ah kweli aksante kunikumbusha
sasa wewe unayetafuta mchumba inabidi utuwekee picha yako (na utuhakikishie ni yako) kisha uspecify mtoto wa tang aipi wamtaka wewe maana tanga kubwa ati! haya fasta fasta
(kaizer i hope nimerudi mstarini)
Ah kweli aksante kunikumbusha
sasa wewe unayetafuta mchumba inabidi utuwekee picha yako (na utuhakikishie ni yako) kisha uspecify mtoto wa tang aipi wamtaka wewe maana tanga kubwa ati! haya fasta fasta
(kaizer i hope nimerudi mstarini)
Ndugu yangu we unajua wazi siwezi kuweka picha yangu humu ndani maana wamejaa wafitini wa kila aina sasa nakuomba kama kweli unania ya kunisaidia fanya mpango awe na makalio ya kutosha (makubwa ni added advantage), rangi si muhimu ila na matiti yawe yaliojaa bila kuanguka. asiwe mrefu sana awe mnene wastani sio tipwa tipwa, akiwa na sifa hizo hata kama sio bikra atanifaa.
Jamani natafuta mchumba: tafadhali zingatia sifa zifuatavyo.
- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada
- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada
Jamani natafuta mchumba: tafadhali zingatia sifa zifuatavyo.
- awe anatokea maeneo ya Tanga, Zanzibar au Kilwa
- Awe mweupe na mrefu wastani asizidi cm 160
- awe mwembamba wastani yaani si mnene wala mwembamba
- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada
- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada
- Ajue kupika hasa wali wa nazi
- Elimu inategemea na sifa za hapo juu, hata kama amemaliza darasa la saba sio tatizo, nitamwendeleza mwenyewe.
Zipo sifa binafsi ambazo nisingependa niziweke hadharani ila kiufupi awe mshiriki mzuri katika mechi zote za ndani. maombi yenye picha yatajibiwa haraka.
Tafadhali tuwasiliane kwa private JF message.
Mhh? Kweli wee ni Mzee wa Fiksi! juzijuzi hapa umekuja na story ukiwafagilia watoto wa kisauzi na mayowe yao wanayopiga! Mi nikajua utabeba mtoto wa bondeni ili uendelee kufaidi mayowe! Sasa mbona hujaweka 'mayowe' kama moja ya sifa mkuu?
alietaja, ****** makubwa, sijui Tanga Zenji,Pwani ni wewe.Jamani, toka nimeweka hii thread sijapata walau dalali ya kujitokeza naona watu tu wanapiga vijembe na wengine ndo hawa wameamua kuniharibia kabisa. Sasa mambo ya tigo humu ndani yamekujaje kama sio kuletea visa? Mimi mwenzenu natafuta mchumba wa kuoa kiukweli na experience yangu inaonyesha watoto wa kitanga na wachache wa pwani wametulia kwenye majambozi, sitaki kuoa afu nirudi tena kwenye kudonoa donoa.
Sasa nyie mnafikiri wakipitia hizo comments zenu atapata picha gani eeh..tuache masihara jamani na wale mlionipa ahadi za kunipa contact mbona jua lachwa sioni kitu, moyo sultani jamani vya kutamani sitaki tena. Mtu asijiridhishe na anchokipenda...tabia ya tigo mi sijawahi kabisa kuifanya labda nyie mnaosema, mimi mtoto wa kiislam safi kabisa, na punde ntafufua mkeka wangu nianze swala tano. NARUDIA TUSICHAFUANE MWENYE KUWEZA KUNISAIDIA AU MWENYE SIFA AJITOKEZE.