Mtongozo wa Kiswahili/Kiislamu

Mtongozo wa Kiswahili/Kiislamu

"Nataka Ramadhan ijayo wewe ndo uwe wa kunipikia futari. tena zuuuri, unaonekana unajua sana"

nikatamani nimuulize jina lake la JF nimtag thread yangu ya I''m too lazy to be a housewife.

hivi kweli nimeshinda siku nzima na njaa halafu jioni me ndo nipike?? waafrika buana 😀

lakini for a Muslim girl, au msichana yeyote anayeamini hizi traditional roles, hayo ni maneno mazuri sana.

za kiswahili "nataka uwe mama wa nyumba yangu"

"anayekula kazi ya mikono yako ana bahati sana"

"nataka uwe pambo la nyumba yangu"

yani ukifuatwa na Hawa ujue unaombwa cheap labor 😀

I think best words I ever heard were "I want you to be my best friend and life partner" aaahhh hapo roho kwatu najua Leo sipiki .

We house girl unawashwa subiri bosi wako aende kazini umuingize msambaa muuza genge hapo nyumbani akusugue huo muwasho wako
 
Wee beki tatu hujui raha ya kumpikia mpnz wko chakula..mnalishana huku umemkalia..tena upike chakula kitam haswa akusifie. wee cjui unaongea nn??hujui mambo tatizo
 
Wee beki tatu hujui raha ya kumpikia mpnz wko chakula..mnalishana huku umemkalia..tena upike chakula kitam haswa akusifie. wee cjui unaongea nn??hujui mambo tatizo
kulisha na kupikia ni tofauti.

kumpikia umpendaye (mtoto, ndugu, rafiki, mpenzi) ni kitu kizuri. ndomana kuna wanaume wanajua umuhimu wa kupikia wenzao.

kuna watu ukiwasifia you can get them to do anything!!! me bora tu uniambie naomba unipikie, sifa hazitosaidia. sanasana nitaacha kupika muda mrefu ili umiss service zangu 😀
 
Mti mkavu haupigwi mawe ila mara chache kuna wanaokwanyua matawi ili wakafamye kuni [emoji23][emoji23][emoji23]
hivi kufwatwa na wanaume wengi ni sifa? how old am I, 16?
for as long as I get what I want, requests from genuine hearts that Will eventually get rejected anyway dont matter.

halafu eti Mtu akifwatwa na wengi ndo anakuwa hakumbuki maneno aliyowahi kuambiwa?

what is our black version of the dumb blonde? Paulo Sergio De Souz
 
hivi kufwatwa na wanaume wengi ni sifa? how old am I, 16?
for as long as I get what I want, requests from genuine hearts that Will eventually get rejected anyway dont matter.

halafu eti Mtu akifwatwa na wengi ndo anakuwa hakumbuki maneno aliyowahi kuambiwa?

what is our black version of the dumb blonde? Paulo Sergio De Souz

Haha were you asking me that last question, or you're simply letting us know?

Anyway, kwa uelewa wangu, kutongozwa kwa mwanamama aliye normal ni kawaida sana. So, nikiona yeyote anashangazwa na chochote katika mtongozo, to the point anakileta mtandaoni, huwa nahisi pengine anajaribu kutuambia au kuficha maumivu fulani.

Quick question; how do you get whatchu want, when you keep turning down even those with genuine intents? And why do you always tryna sound macho about relationships and what not?
 
did you mean they don't approach me that often?
well that is TRUE, I don't attract much attention.

hizo za kiswahili sizo nilizoambiwa mimi. was just mentioning some popular swahili lines.
Ahahahahahaaa anaweza akaja na maneno ya kiingereza (nini yavkiswahili) na ustaarabu unaoutaka lakini kimsingi anamaanisha hayo usiyoyataka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom