Wacha
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 1,052
- 287
Sawa basi tutaweka 10 ili wenye wivu.............
Wameshajinyonga.
Sawa basi tutaweka 10 ili wenye wivu.............
Mtikila kazi yake ni kuongea bila woga ni mojawapo ya shughuli zinazomuweka. Japo mnamwita kichaa ila huyu jamaa anatumiwa sana kwa issue sensitive kuzianika. Umuhimu wa huyu ni kuvuruga. Mimi ninaamini kabisa kuwa katibu wa rais alijaribu kumpa dili alilosema Mtikila naye akalikataa. Ila ingekuwa vizuri kama mtikila angekuwa na kinasa sauti aweke hadharani. Vinginevyo itaishia kuwa stori ya "kamtongoza mke wangu" ila kwa kuwa hukuwepo utaishia kulalama
Nyambala, naungana na wewe, yes Mtikila ni very controversial na wakati mwingine namuona kama kichaa fulani, ila pamoja na yote, baadhi ya madai yake they make sense, kama hili linaonekana kinaukweli fulani. Sasa angalau nimemuelewa Mrema.Waandishi wetu nao wasiwasi sana. Swali muhimu lilotakiwa kufuata hapo ni kumuuliza ndugu Kasim kama amewahi kuonana na Mtikila sehemu yeyote ile, then at this alleged location. Na je amewahi kukaa naye Meza moja kwajambo lolote lile?????????
Kwa sababu Tanzania ni zaidi ya uijuavyo, nna uhakika kama kuna ukweli wowote lazima kigugumizi flani kingetokea!!!!!!!!
Basi Mwamba, kumbe ulimzimikia ndio maana sasa umezimika. Bado wenzako wanawaka. Anafaa kuchangamsha wasikilizajilakini sio mzuri kuwa kiongozi mkuu. Apewe ubunge atafaa, ubunge waviti maalum. Bunge halitalala, hasa Qares akiwamo mle usingizi utamwishia.Mtikila, your so wonderful, hukosi vijineno, hukosi mikasa, wewe ni mwanasiasa wakipekee, najua ukirudi uraiani utaitisha mkutano na waandishi wa habari kufafanua hayo, pole mkuu, wewe ni mwanasiasa wa kwanza wa upinzani niliekua nakuzimia miak ya 90, ila sikuhizi unaniboa.
Nyambala, naungana na wewe, yes Mtikila ni very controversial na wakati mwingine namuona kama kichaa fulani, ila pamoja na yote, baadhi ya madai yake they make sense, kama hili linaonekana kinaukweli fulani. Sasa angalau nimemuelewa Mrema.
Hata kama mimi ndiye ningekuwa Mtawa, of course, lazima ningekanusha.
Huyu bwana si ndio alisema kuwa hela za kampeni zimetoka Iran? Wahandishi walitakiwa kumtafuta huyo Kasim Mtawa wamuuliza kama alishawahi kukutana na Mtikila siku za karibuni, akikanusha wanakwenda Kempiski wanauliza kwa wahudumiu na meneja.
jambo moja tambua ipo laana inamtafuna JK na watu wake, wana woga unaosababishwa na kuwalisha watu upepo, bado kidogo sana naamini kwa dhati kua WATANZANIA wataamka na kutambua kua watawala wamewatafuna wakiwaacha mifupa, hapo ndipo ilipo hofu ya CCM na wapambe wao wanakosa waamasishaji tu.Kama yeyote atakayesimamishwa na CCM atashinda kaa inavyoaminiwa na kama kweli Kikwete anakubalika ndani ya CCM na Watanzania wanampenda kwani "hakuna mwingine".. huu mtandao una ulazima gani kama kweli upo? Maana hata kama mungu ameshasema yeyote atakayejitokeza kupingana na JK ndani ya CCM atakufa sasa wasiwasi ni wanini.. ?
The details are coming out slowly. Ikulu badala ya kujibu hoja zilizotolewa kwenye Kongamano na MNF wakamtumia Sheikh Yahya, halafu Mrema, and I do not know who is going to be next. Kwa hiyo kuna mkakati wa Saidia Kikwete Ashinde. Kufika Oktoba tutakuwa tumeyaona mengi kweli.
Hapana. Itafute TD uisome tena au nenda kwenye mtandao wa Wanabidii usome alichokiandika Zitto wetu.Kuna mahali nimesoma nadhani Tanzania daima Zitto ataka Kikwete apewe kipindi kingine.
Kuna mahali nimesoma nadhani Tanzania daima Zitto ataka Kikwete apewe kipindi kingine.