Mtikilia adai kutojiunga na mtandao wa "Saidia Kikwete Ashinde"!

Mtikila kazi yake ni kuongea bila woga ni mojawapo ya shughuli zinazomuweka. Japo mnamwita kichaa ila huyu jamaa anatumiwa sana kwa issue sensitive kuzianika. Umuhimu wa huyu ni kuvuruga. Mimi ninaamini kabisa kuwa katibu wa rais alijaribu kumpa dili alilosema Mtikila naye akalikataa. Ila ingekuwa vizuri kama mtikila angekuwa na kinasa sauti aweke hadharani. Vinginevyo itaishia kuwa stori ya "kamtongoza mke wangu" ila kwa kuwa hukuwepo utaishia kulalama

Waandishi wetu nao wasiwasi sana. Swali muhimu lilotakiwa kufuata hapo ni kumuuliza ndugu Kasim kama amewahi kuonana na Mtikila sehemu yeyote ile, then at this alleged location. Na je amewahi kukaa naye Meza moja kwajambo lolote lile?????????

Kwa sababu Tanzania ni zaidi ya uijuavyo, nna uhakika kama kuna ukweli wowote lazima kigugumizi flani kingetokea!!!!!!!!
 
Waandishi wetu nao wasiwasi sana. Swali muhimu lilotakiwa kufuata hapo ni kumuuliza ndugu Kasim kama amewahi kuonana na Mtikila sehemu yeyote ile, then at this alleged location. Na je amewahi kukaa naye Meza moja kwajambo lolote lile?????????

Kwa sababu Tanzania ni zaidi ya uijuavyo, nna uhakika kama kuna ukweli wowote lazima kigugumizi flani kingetokea!!!!!!!!
Nyambala, naungana na wewe, yes Mtikila ni very controversial na wakati mwingine namuona kama kichaa fulani, ila pamoja na yote, baadhi ya madai yake they make sense, kama hili linaonekana kinaukweli fulani. Sasa angalau nimemuelewa Mrema.

Hata kama mimi ndiye ningekuwa Mtawa, of course, lazima ningekanusha.
 
Nani muongo Mtikila au Mtawa
Kempi hotel lazima wana kamera au?
Mtawa inabidi afungue mashitaka dhidi ya Mtikila
Mtikila athibitishe tu! Dereva, mlinzi, waiter wanamuelewa sio?
Mtawa muongo?
&#!t

Sasa naye Mh Kikwete ni vipi kazuliwa jambo? Hilo nalo ni Jipya?
"Mtikila amzushia katibu wa Raisi"
 
Mtikila, your so wonderful, hukosi vijineno, hukosi mikasa, wewe ni mwanasiasa wakipekee, najua ukirudi uraiani utaitisha mkutano na waandishi wa habari kufafanua hayo, pole mkuu, wewe ni mwanasiasa wa kwanza wa upinzani niliekua nakuzimia miak ya 90, ila sikuhizi unaniboa.
Basi Mwamba, kumbe ulimzimikia ndio maana sasa umezimika. Bado wenzako wanawaka. Anafaa kuchangamsha wasikilizajilakini sio mzuri kuwa kiongozi mkuu. Apewe ubunge atafaa, ubunge waviti maalum. Bunge halitalala, hasa Qares akiwamo mle usingizi utamwishia.

Leka
 
Nyambala, naungana na wewe, yes Mtikila ni very controversial na wakati mwingine namuona kama kichaa fulani, ila pamoja na yote, baadhi ya madai yake they make sense, kama hili linaonekana kinaukweli fulani. Sasa angalau nimemuelewa Mrema.

Hata kama mimi ndiye ningekuwa Mtawa, of course, lazima ningekanusha.

Huyu bwana si ndio alisema kuwa hela za kampeni zimetoka Iran? Wahandishi walitakiwa kumtafuta huyo Kasim Mtawa wamuuliza kama alishawahi kukutana na Mtikila siku za karibuni, akikanusha wanakwenda Kempiski wanauliza kwa wahudumiu na meneja.
 
Huyu bwana si ndio alisema kuwa hela za kampeni zimetoka Iran? Wahandishi walitakiwa kumtafuta huyo Kasim Mtawa wamuuliza kama alishawahi kukutana na Mtikila siku za karibuni, akikanusha wanakwenda Kempiski wanauliza kwa wahudumiu na meneja.

Kuna register pale hata kama unakwenda kupata Uhuru Peak?
 
Kama yeyote atakayesimamishwa na CCM atashinda kaa inavyoaminiwa na kama kweli Kikwete anakubalika ndani ya CCM na Watanzania wanampenda kwani "hakuna mwingine".. huu mtandao una ulazima gani kama kweli upo? Maana hata kama mungu ameshasema yeyote atakayejitokeza kupingana na JK ndani ya CCM atakufa sasa wasiwasi ni wanini.. ?
 
Kweli, Iweni wavumilivu, Tutaona mengi sana hadi october 2010. Ila kura tumpigie mwenye Afya na Akili njema kwa maslahi ya Taifa hili. "Tuwe na nia moja ya ukombozi wa kweli"
 
Kama yeyote atakayesimamishwa na CCM atashinda kaa inavyoaminiwa na kama kweli Kikwete anakubalika ndani ya CCM na Watanzania wanampenda kwani "hakuna mwingine".. huu mtandao una ulazima gani kama kweli upo? Maana hata kama mungu ameshasema yeyote atakayejitokeza kupingana na JK ndani ya CCM atakufa sasa wasiwasi ni wanini.. ?
jambo moja tambua ipo laana inamtafuna JK na watu wake, wana woga unaosababishwa na kuwalisha watu upepo, bado kidogo sana naamini kwa dhati kua WATANZANIA wataamka na kutambua kua watawala wamewatafuna wakiwaacha mifupa, hapo ndipo ilipo hofu ya CCM na wapambe wao wanakosa waamasishaji tu.
wanajua kama ikatokea mtu mwenye hamasa kubwa JK atakua matatizoni sasa wanaziba mianya kwa nguvu zote .
naamini bado JK hajashinda uchaguzi kama watu wengi wanavyodhani, lolote linawezekana.
 
Alikubali kutumika kwenye uchaguzi mdogo wa Tarime halafu akatae kuingia kwenye mtandao mpya na mzito zaidi wa JK?! Kwa nini hakwenda pale Maelezo atujulishe haya siku ile alipoonana na huyo mwakilishi wa JK? Ana mvuto gani kwa Watanzania hivi sasa?
 
Mtikila Mtikila Mtikila..
Alikuwa chimbo gani???
Movie ndo kwanza treiler....
 
The details are coming out slowly. Ikulu badala ya kujibu hoja zilizotolewa kwenye Kongamano na MNF wakamtumia Sheikh Yahya, halafu Mrema, and I do not know who is going to be next. Kwa hiyo kuna mkakati wa Saidia Kikwete Ashinde. Kufika Oktoba tutakuwa tumeyaona mengi kweli.

Kuna mahali nimesoma nadhani Tanzania daima Zitto ataka Kikwete apewe kipindi kingine.
 
Kuna mahali nimesoma nadhani Tanzania daima Zitto ataka Kikwete apewe kipindi kingine.


Ni zitto niliyemjua tangu chuo kikuu au huyu ni yule Zitto wa CCM?

kama ni zitto wa CCM basi ni sawa tu maana ni utamaduni wao ila kama ni Zitto niliyemjua kwa imani ya dhati tangu chuoni basi ni vema atoe kanusho kubwa hapa au ktk vyombo vya habari maana dhambi hiyo itatafuna hadi vizazi vyake ya usaliti uliokithiri
Otherwise na mhimu zaidi THIBITISHA Kama Kweli kasema
 
Back
Top Bottom