Haya aliyasema katika hukumu ya kesi ya Rev. Mtikila v Attorney General, 1993
Leo tunaona Rais na kila mmoja upande wa CCM wanavunja KATIBA kama vile kuvunja uchumba!
Jaji Lugakingira akasisisitza kuwa ingawa rules of Private litigation can not be applied to Public interest Litagation, lakini linapokuja tatizo/suala la kuvunja katiba, "beyond reasonable doubt" doctrine inaweza kutumika kuthibitisha hilo ingawa haitumiki kwenye Public interesat Litigation
Leo tunaona Rais na kila mmoja upande wa CCM wanavunja KATIBA kama vile kuvunja uchumba!
Jaji Lugakingira akasisisitza kuwa ingawa rules of Private litigation can not be applied to Public interest Litagation, lakini linapokuja tatizo/suala la kuvunja katiba, "beyond reasonable doubt" doctrine inaweza kutumika kuthibitisha hilo ingawa haitumiki kwenye Public interesat Litigation