Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

Mchungaji ameanza vituko.

Amesema anaandaa wanasheria wake kumshitaki Lowasa na atakayekuwa mgombea mwenza wake.

Mtikila ameeleza kuwa Mh.Lowasa hakulipa kodi wakati wa kutia nia CCM, kodi hii ilitakiwa ilipwe kati ya hela alizokuwa akigawa wakati wa kutia nia..

Haya ni maneno ya Mtikila

Nadhani ni muda muafaka wa kumshtaki pia huyu mchungaji kwa kutumia ovyo muda na mamlaka ya mahakama.Alikuwa wapi siku zoote??
 
Mtikila hajawahi kupeleka kesi mahakamani akashindwa! Fisadi Lowasa jiandae kuwajibishwa

Mtikila Akitaka Mtu Wa Kumsindikiza Huko Mahakamani Tafadhali Nipo Tayari Kwani Yupo Sahihi Kwa Asilimia Zote Na Namuunga Mkono.
 
Kukwepa kodi,hiyo no kazi ya TRA. Mtikila aishtaki TRA kwa kushindwa kumkamata Lowassa. Mtikila Ana matatizo ya akili nasikia. Siyo tu nasikia,nimeshuhudia katika mikutano yake. Faulty reasoning. Anaongea normally,halafu kila baada ya PRECISELY ten minutes anaongea nonsense.

Andrew Na Wewe Tangia Lini Umeanza Kumuunga Mkono FISADI Huyo? Kwahiyo Baba Yako Na Baba Yetu Wa Taifa Alipomkataa Alikosea? Tafadhali Wahi Upesi Pale Mwintongo Ukapige Magoti Kuomba Radhi. Leo Wewe Unadai Mtikila Hana Akili Hivi Na Wewe Kaka Andrew Ulivyokataa Kuaga Mwili Wa Marehemu Baba Yako Pale Msasani Na Ukajifungia Chumbani Kwako Huku Ukiwa Umefungulia Mziki Sauti Kubwa Na Ukitiririsha Maji Hadi Kutushangaza Waombolezaji Wote Pale Haikutosha Kutuaminisha Kuwa Wewe Ndiyo Una Matatizo Makubwa Ya Akili Kaka? Nionavyo Mtikila Ana Afadhali Kuliko Wewe Kaka.
 
Mtikila hana tofauti na Ndugu yako Makongoro Nyerere na wewe pia mpo kwenye kundi la kupeleka mirembe

Nakushukuru Sana Mkuu Kwa Kuliweka Hili Sawa Na Kumwambia Ukweli Wake Huyo Andrew Nyerere Kwani Kwa Tunaomjua Tumeshamsamehe Ila Ana Matatizo Makubwa Mno Na Mengi Yake Yameanzia Katika Kizazi Cha Koo. Nimesikitika Mno Kwa Comment Yake Ile. Nawaombeni Jamani Tumsamehe Tu Andrew Nyerere!
 
Mchungaji ameanza vituko.

Amesema anaandaa wanasheria wake kumshitaki Lowasa na atakayekuwa mgombea mwenza wake.

Mtikila ameeleza kuwa Mh.Lowasa hakulipa kodi wakati wa kutia nia CCM, kodi hii ilitakiwa ilipwe kati ya hela alizokuwa akigawa wakati wa kutia nia..

Haya ni maneno ya Mtikila

Mtikila ni political opportunist....! Na kilichokuja kufanya ajulikane ni LIBERTY DESK...kipindi kile cha Mwinyi...! Baada ya LIBERTY DESK kumpiga chini kutokana na ile ishu ya kukoswakoswa kukamatwa na briefcase iliyokuwa na sensitive documents mitaa ya posta, nguvu na umaarufu wake vilipungua sana
 
This is too much, it's an assault pal, sio kila post lazima uchangie - kila la heri

Kunya Anye Kuku Na Akinya Bata Kaharisha? Sijaona Ubaya Wa Post Wa Huyo Member Unayemsema Na Ameelezea Tu Hisia Zake Ambazo Unatakiwa Na Wewe Kuziheshimu Kama Tunavyoheshimu Na Hii Post Yako.
 
Mtikila hajawahi kupeleka kesi mahakamani akashindwa! Fisadi Lowasa jiandae kuwajibishwa

Harakati zenu za kumnadi Magufuli zimefikia wapi?, mbona kama kashafifia vibaya sana wakati hata kampeni haijaanza.... Na kampeni zikianza msahau kabisa jina la Magufuli, utakuwa ni moto wa hatari...
 
Kukwepa kodi,hiyo no kazi ya TRA. Mtikila aishtaki TRA kwa kushindwa kumkamata Lowassa. Mtikila Ana matatizo ya akili nasikia. Siyo tu nasikia,nimeshuhudia katika mikutano yake. Faulty reasoning. Anaongea normally,halafu kila baada ya PRECISELY ten minutes anaongea nonsense.
Teh teh teh!!!
 
Mtikila hajawahi kupeleka kesi mahakamani akashindwa! Fisadi Lowasa jiandae kuwajibishwa

Hebu tafuta muda ukalale kidogo kazi hii waliyokuachia itakuua! Huwezi kuonekana 24/7 mtandaoni kisa Ukawa wamempata Lowassa na kutishia uwepo wa CCM madarakani kiasi cha kuhatarisha afya yako.
Nimesema hivyo kwa sababu hii ID yako inaonyesha haitumiwi kitaasisi bali ni mawazo ya mtu mmoja ukisoma between lines. Lizaboni, hata CCM ikifa maisha yataendelea tuu ila wewe ukifwariki kutokana na kujichosha na kazi hii watakusahau wewe na familia yako mara moja, haujifunzi kwa Komba? Badala ya kumsaidia familia yake, sasa hivi yupo kiongozi mmoja ameanza kuzengea zengea nani hii wake! Aibu sana. Na ukibisha tutamtaja baradhuli huyo.
 
Last edited by a moderator:
Kunya Anye Kuku Na Akinya Bata Kaharisha? Sijaona Ubaya Wa Post Wa Huyo Member Unayemsema Na Ameelezea Tu Hisia Zake Ambazo Unatakiwa Na Wewe Kuziheshimu Kama Tunavyoheshimu Na Hii Post Yako.

Umemaliza? poa na wewe ungepita tu
 
Mchungaji ameanza vituko.

Amesema anaandaa wanasheria wake kumshitaki Lowasa na atakayekuwa mgombea mwenza wake.

Mtikila ameeleza kuwa Mh.Lowasa hakulipa kodi wakati wa kutia nia CCM, kodi hii ilitakiwa ilipwe kati ya hela alizokuwa akigawa wakati wa kutia nia..

Haya ni maneno ya Mtikila
Tayari kahongwa huyu, atupe miamala kwa movement wa hizo hela.
Vipi kuhusu wale wanaolipa mawakala kama Nape wamelipa kodi?

Vipi waliotia nia wengine 42 wa CCM wamelipa hizo kodi?
Vipi mchakato wa kura za maoni CCM wanastahili kulipa kodi? Tupe tathmini yako Mtikila
Kwa nini Lowasa siyo Membe?
Vipi mtu mwema zile million mia saba pale Dodoma hazifai kwa kodi?
Umetumwa wewe na utakazopewa usisahau kulipa kodi. MTAZAMO WANGU TU KWA MCHUNGAJI MTIKILA
 
Kukwepa kodi,hiyo no kazi ya TRA. Mtikila aishtaki TRA kwa kushindwa kumkamata Lowassa. Mtikila Ana matatizo ya akili nasikia. Siyo tu nasikia,nimeshuhudia katika mikutano yake. Faulty reasoning. Anaongea normally,halafu kila baada ya PRECISELY ten minutes anaongea nonsense.


Uko sahihi Mkuu...!!!

Kuna kesi moja, alizidiwa kweli zamani kidogo, alivyoona hivyo ALIJAMBA KWA NGUVU mahakamani wakati wa kusimama alivyoanza ku defend, watu walicheka sana...aka draw attention ya watu, basi akasema Judge, am sorry nimechafua hali ya hewa..hali yangu ya tumbo ni mbaya sana, huku kainama kidogo kashika tumbo kwa mkono mmoja...akasema naomba udhuru, hali yangu ya tumbo mbaya..naomba niende toilet...

Kesi iliahirishwa..!!! Mpuuzi kweli Mtikila...!!!
 
heee! kwan wale wnzake walilipa kodi? kwan kutia nia kugombea ni biashara ulipie kodi TRA? anatumiwa vbaya huyu
et

Huwezi kumfutia mtu kosa kwa sababu kosa alilofanya wamefanya na wengine. Huwezi kumlazimisha mshitaki wako aliyekukua na kosa eti ili akutie hatiani hadi awashitaki wote waliofanya kosa kama lako. Huo si utetezi mahakamani.

Kuhusu tRA kuwa ndiyo wenye kosa la kutokumkamata Lowasa kwa kushindwa kulipa kodi, sheria inamruhusu mtu yeyote kukamata mkosaji na kumfungulia mashitaka na kesi inaendeshwa kwa mujibu wa vielelezo vilivyopo. Kama mtikila yuko serious, na kama anajustifications, anauwezo wa kuinganisha tRA katika kesi ya wakwepa kodi kama anaweza kujenga hoja kisheria namna gani tRA imehusika katika ukwepa kodi wa Lowasa.

Ushauri wangu ninaomba UKAWA, waangalie sana makandokando ya mgombea tusije kupigwa bao la mkono kwa sababu ya kutokuwa makini. Ikumbukwe hajawahi kukataa kwamba hakugawa fedha, na amekiri ushiriki katika kashfa ya Richmond aliyofanya na kina JK et al.

Hadi sasa bado haijawa dhahiri ameshiriki makosa mangapi akiwa kwenye mfumo wa zimwi ccm kiasi ambacho tukaelewa tuna strengths zipi za kupangua uzito wa hatia zake kwenye ushiriki huo na akabaki mgombea asiyewekewe pingamizi.

Ninadhani kina Tundu Lisu wako makini kuona hawaachi mianya ya kushitukizwa mbele ya safari.

Kwa ujumla, hakunaga utetezi kwamba hukufanya kosa peke yako. Kufanya kosa, kushiriki kosa ni kosa kisheria.
 
Tayari kahongwa huyu, atupe miamala kwa movement wa hizo hela.
Vipi kuhusu wale wanaolipa mawakala kama Nape wamelipa kodi?

Vipi waliotia nia wengine 42 wa CCM wamelipa hizo kodi?
Vipi mchakato wa kura za maoni CCM wanastahili kulipa kodi? Tupe tathmini yako Mtikila
Kwa nini Lowasa siyo Membe?
Vipi mtu mwema zile million mia saba pale Dodoma hazifai kwa kodi?
Umetumwa wewe na utakazopewa usisahau kulipa kodi. MTAZAMO WANGU TU KWA MCHUNGAJI MTIKILA

Huu siyo utetezi wa kisheria. Ukikamatwa na kosa, hata kama mmefanya 100, huwezi kusema huna hatia kwa sababu mmefanya 100, kwa hiyo ni halali au hadi na wenzako wakamatwe. Haipo hivyo!.

Kama una hatia una hatia bila kujali nani kakumata, ametumwa ama hajatumwa. Utatakiwa kuthibitisha huna hatia wewe kama wewe na si kusema aliyenikukamata alitumwa kwa kuw awengine mliokuwa nao kwenye uhalifu hakuwakamata ama hawajakamatwa.

Tunahitaji kuwa waangalifu tu.
 
Back
Top Bottom