Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Mtikila huo in uchochezi ambao unataka kuhatarisha hali ya amani ya nchi utajilaumu
Mtikila tangu atoke gerezani kichwani mwake ni mawengewenge tu
Mtikila huo in uchochezi ambao unataka kuhatarisha hali ya amani ya nchi utajilaumu
This is too much, it's an assault pal, sio kila post lazima uchangie - kila la heri
Umepoteza mwelekeo, na umekata tamaa kabisa hadi unamwamin mtikila
Nawahurumia sana waumini wa huyu mchungaji.
Wewe Liziborn una kumbukumbu sahihi kweli au unaongozwa zaidi na mapenzi ya upande fikiria tena
Nadhani ni muda muafaka wa kumshtaki pia huyu mchungaji kwa kutumia ovyo muda na mamlaka ya mahakama.Alikuwa wapi siku zoote??
Mkuu vipi mbona unarusha ngumi hewani?tulia hiyo ndio jf
Usiyempenda Kaja Na Ukiona Nayajua Mengi Basi Ujue Kuwa Pia Nina Uwezo Mkubwa Wa AKILI Na Wa Kufahamu MAMBO Kuliko Wewe Na Mnavyozidi Kunichukia Ndiyo Mnaniweka Tu Juu Kama Lowassa Na Diamond Platinumz.
Harakati zenu za kumnadi Magufuli zimefikia wapi?, mbona kama kashafifia vibaya sana wakati hata kampeni haijaanza.... Na kampeni zikianza msahau kabisa jina la Magufuli, utakuwa ni moto wa hatari...
Mtikila ni political opportunist....! Na kilichokuja kufanya ajulikane ni LIBERTY DESK...kipindi kile cha Mwinyi...! Baada ya LIBERTY DESK kumpiga chini kutokana na ile ishu ya kukoswakoswa kukamatwa na briefcase iliyokuwa na sensitive documents mitaa ya posta, nguvu na umaarufu wake vilipungua sana
Nakumbuka mwaka ule alivyomchafua Rostamu kuwa fisadi alivyochangia kwaya kinondOni (miezi mitatu tu tangu na yeye avute mil 3 kutoka kwake), kumbe jamaa ana karatasi ambayo Mtikila alisaini, akaitoa kwa waandishi wa habari. Alivyoonyeshwa na kubanwa kuwa mbona na yeye alichukua akidai ni za kanisa akaanza kubabaika ... "Hebu... inawezekana ni saini yangu... lakini ni deni nitalilipa..." alivyobanwa kwa nini amechukua fedha za fisadi akaanza... "Lakini hizi ni fedha zetu jamani ni Za watanzania...." Tangu wakati huo namuona kama COMEDIAN tu.
Oookey!! Hivi na ile ya mgombea binafsi ilikuaje?
Mkuu na mtikila kamshitaki Kagame kwa kumpa hela lowasa..twende tumsindikize teh teh