Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

Mtikila karibu tarime upate ngeo nyingine huku hatukopeshi walopokaji kama wewe.
 
Umesikia wapi mkuu..mwenzenu niko porini huku sijaona wa kusikiliza vyombo vya habari zaidi ya jf.
 
Siasa kweli ni ngumu kuzielewa! You can't tell who is serious and a nonsense! Watu wetu wote wa jamiiforums ambao tulikuwa tukiwategemea kwa michango ya maana pamoja na U-CCM au U-CHADEMA wao, wote wamejitoa ufahamu and can support nonsense or question the obvious.

Mtikila hajawahi kupeleka kesi mahakamani akashindwa! Fisadi Lowasa jiandae kuwajibishwa
 
Jamaa unatisha kwa kumbukumbu

Siku ya hilo tukio nilikuwa maeneo hayo jamaa wa LIBERTY DESK walifanya chenchi kota ya briefcase kimafia hasa maeneo ya IPS, wakachukua briefcase yenye nyaraka nyeti na kumpa Mtikila kanyaboya....! Ile kutokea tu Askari monument usalama wakamdaka Mtikila kuja kumsachi briefcase lilikuwa na magazeti na mafaili yasiyo na chochote
 
Siku ya hilo tukio nilikuwa maeneo hayo jamaa wa LIBERTY DESK walifanya chenchi kota ya briefcase kimafia hasa maeneo ya IPS, wakachukua briefcase yenye nyaraka nyeti na kumpa Mtikila kanyaboya....! Ile kutokea tu Askari monument usalama wakamdaka Mtikila kuja kumsachi briefcase lilikuwa na magazeti na mafaili yasiyo na chochote

Duuuu ,naona alisali wiki mzima kwa kushukuru badala ya kulaumu!
 
Siasa kweli ni ngumu kuzielewa! You can't tell who is serious and a nonsense! Watu wetu wote wa jamiiforums ambao tulikuwa tukiwategemea kwa michango ya maana pamoja na U-CCM au U-CHADEMA wao, wote wamejitoa ufahamu and can support nonsense or question the obvious.

Mkuu unamuogopa nini lizaboni kumwambia moja kwa moja?
 
Mtikila naye anapenda sana kesi .ile kesi ya kumshikwa makalio bila ridhaa yake iliishia wapi?
 
Mchungaji ameanza vituko.

Amesema anaandaa wanasheria wake kumshitaki Lowasa na atakayekuwa mgombea mwenza wake.

Mtikila ameeleza kuwa Mh.Lowasa hakulipa kodi wakati wa kutia nia CCM, kodi hii ilitakiwa ilipwe kati ya hela alizokuwa akigawa wakati wa kutia nia..

Haya ni maneno ya Mtikila

Ile fedha alipewaga na Rostam aliilipiaga kodi?
 
Huyu mtikila ni mwenda wazimu. Atatumika hadi lini
Usalama wanamtumia yeye kazi yake kupokea hela.....na kutumika sio mzalendo
 
Mkuu sio lizaboni pekee bali imekuwa jamvi la wendawazimu badala ya great thinkers! Keep away ushabiki wa vyama ambao sina matatizo nao ila kujitoa ufahamu bila hata chembe ya aibu kwa watu tunaowaheshimu jamvini. Nitaanza kutoa jina moja moja na michango Yao kwa kuthibitisha ninayosema

Mkuu unamuogopa nini lizaboni kumwambia moja kwa moja?
 
Mkuu sio lizaboni pekee bali imekuwa jamvi la wendawazimu badala ya great thinkers! Keep away ushabiki wa vyama ambao sina matatizo nao ila kujitoa ufahamu bila hata chembe ya aibu kwa watu tunaowaheshimu jamvini. Nitaanza kutoa jina moja moja na michango Yao kwa kuthibitisha ninayosema

Mkuu kuwalaumu ni kutowatendea haki,kwani kila mtu na ulevi wake hivyo kumlaumu mtu kwanini anakunywa pombe,au kwanini anapenda mziki,ni kutomtendea haki na kupenda siasa kupindukia ni ulevi pia
 
  • Thanks
Reactions: NOD
Back
Top Bottom