Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

Kukwepa kodi,hiyo no kazi ya TRA. Mtikila aishtaki TRA kwa kushindwa kumkamata Lowassa. Mtikila Ana matatizo ya akili nasikia. Siyo tu nasikia,nimeshuhudia katika mikutano yake. Faulty reasoning. Anaongea normally,halafu kila baada ya PRECISELY ten minutes anaongea nonsense.

Hivi kile chama chake kiko hai au alikiua?
 
Rostam inabidi amkumbushe lile fungu alilomkatia Mtikila kupitia NGO
 
Kwa hiyo anataka niambia mimi ninavyoenda kununua kiroba cha unga niandae na pesa ya kodi au yule aliyeniuzia ndio anatakiwa alipe kodi??
 
Mtikila huo in uchochezi ambao unataka kuhatarisha hali ya amani ya nchi utajilaumu
 
Mchungaji ameanza vituko.Amesema anaandaa wanasheria wake kumshitaki Lowasa na atakayekuwa mgombea mwenza wake.Mtikila ameeleza kuwa Mh.Lowasa hakulipa kodi wakati wa kutia nia CCM,kodi hii ilitakiwa ilipwe kati ya hela alizokuwa akigawa wakati wa kutia nia..haya ni maneno ya Mtikila

Hiki sasa kioja. (..............) ndo nishatukana hapo maana huu sasa uchizi
 
Mchungaji ameanza vituko.Amesema anaandaa wanasheria wake kumshitaki Lowasa na atakayekuwa mgombea mwenza wake.Mtikila ameeleza kuwa Mh.Lowasa hakulipa kodi wakati wa kutia nia CCM,kodi hii ilitakiwa ilipwe kati ya hela alizokuwa akigawa wakati wa kutia nia..haya ni maneno ya Mtikila

HANA LOLOTE HUYO MTIKILA kwan anatafuta kick yakutokea maana tulishamsahau huyu mchungaji hewa..
 
mtikila ni mwanasheria mahiri.katika hili amechemka na kuna kutumiwa.
 
Wewe Liziborn una kumbukumbu sahihi kweli au unaongozwa zaidi na mapenzi ya upande fikiria tena
 
Swala la mgombea binafsi lilipanguliwa kitambo kwa court decision even after the mtikila apply certioarary the court mandamus the decision of mtikila,hence it was invalid.
 
Huyo ni layman....asitutishe...awahi mahakamani haraka...sisi tutakuja...maana naona amesahau ya TARIME.

Kwan membe alilipa kodi?

Sheria Ya Mwenendo wa makosa ya jinai Sura ya 20 kifungu cha 7 kinampa mamlaka/nafasi mtu yeyote kutoa taarifa/kustaki......
angalia vizuri kifungu cha 7 (1) (a)

7. Duty to give information on crimes and sudden deaths
(1) Every person who is or becomes aware–
(a) of the commission of or the intention of any other person to commit any offence punishable under the Penal Code; or
(b) of any sudden or unnatural death or death by violence or of any death under suspicious circumstances or of the body of any person being found dead without it being known how that person died,
shall forthwith give information to a police officer or to a person in authority in the locality who shall convey the information to the officer in charge of the nearest police station.
 
Mtikila hajawahi kupeleka kesi mahakamani akashindwa! Fisadi Lowasa jiandae kuwajibishwa


Kushinda si tatizo, tatizo hicho anachosinda kinatekelezwa? Rejea kesi ya mgombea binafsi. Leo huyo mgombea yupo?
 
Back
Top Bottom