Mzee wa Gumzo
Senior Member
- Apr 21, 2008
- 197
- 5
Taarifa za kuaminika zinaeleza kuwa mtihani ulioripotiwa kuzagaa mitaani tangu jana ulikuwa ni a Geography.
Taarifa nyingine zinadai kuwa mtihani huo umefutwa na utapangiwa tarehe nyingine.
Hii ndiyo Tanzania bora
Taarifa nyingine zinadai kuwa mtihani huo umefutwa na utapangiwa tarehe nyingine.
Hii ndiyo Tanzania bora