Huyo ndo EL bwana, nani anasema EL siyo jembe? Pambana EL, watanzania wote tupo nyuma yako
waacheni wamvue uenyekiti na hata ikibidi na urais pia nawaruhusu wamvue tu. Mie bado nayafikiria mafweza yaliyotunzwa nje ya nchi yetu. Pengine maisha bora yangewezekana bila ya huyu dhaifu.
Tatizo wabongo hamjishughulishi katika kufikiria. Ungeuliza wapo nyuma yake wanafanya nini? Huyu ni jembe la kupalilia na kukuza rushwa.Ni ujinga kujumuisha Watanzania wote kwenye kuwa nyuma ya huyo mwizi. I for one am not for him, halafu una-declare kuwa Watanzania wote "wako nyuma yake"! Aliekupa hiyo taarifa ni nani?
Selling yourself cheaply, bora hata changudoa!
Labda nilishawahi kuheshimu sana michango yako kwenye jukwaa hili la siasa!!ila kwa upuuzi ulioandika hapo itabidi nianze kutafuta pa kuihamishia heshima yangu,naanza kuona kuwa hapo ilpo si mahali sahihi,pole mtambuzi!!kumbe wakati mwingine ni mganguzi!!in short hakuna cha maana ulichoandika hapo!!u-dudu mtupu.
Nasubiri JK apigwe chini chamani. Je atajiuzulu kama Mbeki? Hilo naunga mkono?Kofia ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Wa Nchi hazikuwekwa pamoja kwa bahati mbaya, bali ilikuwa ni nia ya mukusudi ili kumpa nguvu Rais ya kuendesha nchi bila kuingiliwa na nguvu ya chama, hasa wakati ule Chama kimeshika hatamu;
Ni ujinga kujumuisha Watanzania wote kwenye kuwa nyuma ya huyo mwizi. I for one am not for him, halafu una-declare kuwa Watanzania wote "wako nyuma yake"! Aliekupa hiyo taarifa ni nani?
Selling yourself cheaply, bora hata changudoa!
Ambalo siungi mkono ni kutenganisha hizo kofia za uongozi wa chama na ile ya serikali
..."Kama hata UWT wanatoa hongo kwenye chaguzi, basi namwachia Mungu".,JK -Dodoma October 2012.
Ni ujinga kujumuisha Watanzania wote kwenye kuwa nyuma ya huyo mwizi. I for one am not for him, halafu una-declare kuwa Watanzania wote "wako nyuma yake"! Aliekupa hiyo taarifa ni nani?
Selling yourself cheaply, bora hata changudoa!
Hii inaligharimu sana taifa. Ebu angalia pale juzi alipotumia magari na mali za dola jwenda kukagua miradi ya CCM!!! Na jinsi ambavyo uwa wanafanyia vikao vya chama pale ikulu!!!
Hili ni la kikatiba zaidi; ni muhimu kuwa na utaratibu wa kuwa na rais hasie kiongozi wa chama cha siasa.
ccm hata ifanye nini itasambaratika kabla ya 2012.Kupona kwa ccm ni kuwa na m/kiti ambaye atakuwa na kofia moja tu.
Umeonaeeh,hata mi huwa najiuliza kuna wenzetu wamerogwa?,maana haingii akilini pamoja na yote hayo tuliyofanyiwa,bado mtu na akili zake anatetea mafisadi,kweli tutafika?
Sichangii hoja kufurahisha watu au kutafuta kuungwa mkono na watu, bali nachangia hoja kutokana na mawazo yangu huru, hasa nikisimamia kitu ninachoamini, sasa kama inaonekana ni hoja dhaifu, hilo linajadilika lakini kwa hoja mbadala; natarajia urudi na hoja mbadala juu ya suluhisho kwa suala lililo mbele yetu badala ya kutoa hoja za kulaumu mawazo yangu au kuyashangaa; Vinginevyo mgongano wa mawazo ni sehemu muhimu ya mijadala kama hii;
Nadhani unapenda kuliangalia suala hili kwa wepesi; Ni vizuri ukafahamu kwamba suala hili sio dogo kama unavyopenda kufikiri; Linahitaji busara kuliko jazba; Jaribu kutulia na ufanye a cost-benefit analysis kwa kuweka in the centre the fact kwamba huyu ni Rais wa nchi, sio Rais wa CCM au Chama Cha Soka;
Naendelea kusisitiza kwamba - iwapo wajumbe wa kikao husika watafikia ‘a consensus' kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa, J.K Kikwete ni Dhaifu na ni mzigo kwa Chama, basi kwa kuanzia, watazame kwanini walifikia huko, na iwe ni fundisho kwao kwamba next time wanapochagua mgombea Urais kupitia chama chao, wawe makini zaidi kuchagua mtu ambae atakuwa ni kiongozi bora na sio bora kiongozi; Hakuna mwenyekiti wa chama ambae atapendwa na watu wote katika nyakazi hizi; Kiongozi kuwa dhaifu au kutokuwa dhaifu inatokana na kuungwa au kutoungwa mkono na wenzako, nothing less, nothing more;
Vinginevyo kuanza kuvuruga mambo sasahivi kama unavyoashiria kushauri, just because of mistake iliyofanywa huko nyuma ya kuweka mtu ambae anamaliza muda wake within three years would render more costs than benefits, sio kwa CCM tu bali kwa Taifa; Again, huyu ni rais wa nchi, sio wa CCM au Chama cha Soka; Hakuna mtanzania anayetaka utawala wa nchi uwe na msukosuko zaidi ya huu wa sasa ambao unatokana na minyukano yao wenyewe huko CCM, na hali itakuwa mbaya iwapo maamuzi juu ya suala hili yatafanyika kwa kukurupuka badala ya kutumia busara;
Iwapo kikao husika kitakubaliana kwamba kuna tatizo, option nyingine nzuri ni kuanzisha ‘a transition period' na kuchagua mwenyekiti mpya ambae huyo ndiye ataandaliwa kuwa mgombea Urais kupitia CCM 2015; Kuchagua tu mtu yeyote bila ya kuweka mazingira ya transition period nchi itajuta kwa kushabikia yaliyotokea kwani mwenyekiti mpya atamvuruga Rais na atavuruga mchakato wa kumpata mgombea 2015 aidha kwa kuvutia ngoma kwake au kukandamiza wengine kwa faida ya chaguo lake;
Labda nilishawahi kuheshimu sana michango yako kwenye jukwaa hili la siasa!!ila kwa upuuzi ulioandika hapo itabidi nianze kutafuta pa kuihamishia heshima yangu,naanza kuona kuwa hapo ilpo si mahali sahihi,pole mtambuzi!!kumbe wakati mwingine ni mganguzi!!in short hakuna cha maana ulichoandika hapo!!u-dudu mtupu.
Hiyo nchi unayoililia wewe kwa sasa ni ipi? Hao unawaona watapata msukosuko ni wapi ambao bado hawako katika msukosuko? Nyie ndiye wale ambao mnaangalia maisha yenu pale yanapokuwa hatarini ndiyo mnagundua kuna hatari lakini wale wengine wanoishi katika hatari katu hamuwafikirii. People have been killed wengine wameonewa beyond human imagination wamelishwa sumu na kurushiwa vitu vizito vya angani bado ww hukuona hiyo ni hatari? Kwahiyo sasa hatari inaonekana CCM inapokuwa exposed na nature kuwa ndiyo architecture wa hii wickedness yote?
Come'n tuliwapigia kelele sana tuli prophesy what is ahead bado mkafunga masikio na sasa you reap what you planted better remain quite and enjoy the dish...
Mkuu umemshambulia sana Mchambuzi bila kujibu hoja alizotoa. Mimi naona ni za msingi unless kama umempania toka wakati unamuaga wife home. Kwi kwi kwi