Mtifuano Mkutano wa CCM - Dodoma

Mtifuano Mkutano wa CCM - Dodoma

Mwisho watasema kuwa CHADEMA wamepandikiza watu wao wasambaze vipeperushi ili kudhoofisha mshikamano ndani ya chama!!
 
ImageUploadedByJamiiForums1352489174.110083.jpg

Maandamano yalifeli Mmekimbilia vipeperushi
 
Zikiwa zimebaki siku tatu kuanza kwa mkutano mkuu wa CCM Taifa,Dodoma kumesambazwa vipeperushi vinavyowataka Wajumbe wa CCM kumkataa Mwenyekiti J.KIKWETE sababu ya udhaifu wake wa kiuöngozi unaokifanya chama chao kikòngwe kupoteza mvuto na kukataliwa na watu.

Kada aliyetoa shutuma hizo mbele ya waandishi wa habari amewataja Fred Lowasa,Martin Shigela,Bashe Hussein na Benno Malisa kama ndo wahusika wakuu wa vipeperushi hivyo.

Lakini Nape Nnauye akihojiwa na waandishi wa habari ktk uwanja wa ndege Dodoma alipofika kumpokea Mwenyekiti,NAPE amesema hao ni wahuni tu,ambao hawana nguvu ktk chama,wanatumia fedha za kifisadi kuyumbisha chama,ni wahuni tu wa barabarani ambao miili yao ipo CCM lakini akili zao zipo kwingine.

Tayali Mwenyekiti J.K amefika leo Dodoma kwa ndege 5H-TGF aina ya F50 tayali kwa mkutano mkuu wa chama!

Je hii ni nguvu ya Lowasa kukitikisa chama chake?
Kwa vyovyote vile hii si dalili nzuri kwa chama tawala.
Umoja na mshikamano umeenda wapi?
 
[B said:
Ngaliba[/B] Dume;4998147]Zikiwa zimebaki siku tatu kuanza kwa mkutano mkuu wa CCM Taifa,Dodoma kumesambazwa vipeperushi vinavyowataka Wajumbe wa CCM kumkataa Mwenyekiti J.KIKWETE sababu ya udhaifu wake wa kiuöngozi unaokifanya chama chao kikòngwe kupoteza mvuto na kukataliwa na watu.

Kada aliyetoa shutuma hizo mbele ya waandishi wa habari amewataja Fred Lowasa,Martin Shigela,Bashe Hussein na Benno Malisa kama ndo wahusika wakuu wa vipeperushi hivyo.

Lakini Nape Nnauye akihojiwa na waandishi wa habari ktk uwanja wa ndege Dodoma alipofika kumpokea Mwenyekiti,NAPE amesema hao ni wahuni tu,ambao hawana nguvu ktk chama,wanatumia fedha za kifisadi kuyumbisha chama,ni wahuni tu wa barabarani ambao miili yao ipo CCM lakini akili zao zipo kwingine.

Tayali Mwenyekiti J.K amefika leo Dodoma kwa ndege 5H-TGF aina ya F50 tayali kwa mkutano mkuu wa chama!

Je hii ni nguvu ya Lowasa kukitikisa chama chake?

Ngariba
Tayari
 
huyu matefo aliyeongea na waandishi nimganga njaa tu wote wameoza hakuna msafi ccm
 
Nyerere alisema wapinzani wa CCM watatoka CCM humohumo.
 
Kitendo cha kutenganisha kofia hizi mbili kutapelekea nchi kuyumba, kwani kimaamuzi, kutakuwa na mivutano mikubwa sana na ya mara kwa mara baina ya Mwenyekiti Wa CCM na Rais anayetokana na CCM; Ni muhimu kwa kofia hizi mbili ziendelee kubakia chini ya mtu mmoja kama ilivyo sasa, na iwapo hoja kwamba Mwenyekiti ni dhaifu itaungwa mkono na wengi, basi iwe ndio wake-up call juu ya umuhimu wa kuwa na uangalifu zaidi katika kuteua wagombea Urais kupitia CCM; Vinginevyo Mwenyekiti amebakisha miaka mitatu tu, aachwe amalizie muda wake;

Hivi sasa hazijatenganishwa zipo kwa kichwa kimoja, lakini nchi inayumba tayari
 
Kofia ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Wa Nchi hazikuwekwa pamoja kwa bahati mbaya, bali ilikuwa ni nia ya mukusudi ili kumpa nguvu Rais ya kuendesha nchi bila kuingiliwa na nguvu ya chama, hasa wakati ule Chama kimeshika hatamu; Pamoja na ujio wa mageuzi ya kisiasa yaliyopelekea mfumo wa vyama vingi, leo hii uhalisia bado unabakia pale pale - Tanzania bado ni taifa changa sana kisiasa kuweza kutenganisha kofia hizi mbili bila kuleta madhara yoyote kwenye utawala wa nchi;

Kitendo cha kutenganisha kofia hizi mbili kutapelekea nchi kuyumba, kwani kimaamuzi, kutakuwa na mivutano mikubwa sana na ya mara kwa mara baina ya Mwenyekiti Wa CCM na Rais anayetokana na CCM; Ni muhimu kwa kofia hizi mbili ziendelee kubakia chini ya mtu mmoja kama ilivyo sasa, na iwapo hoja kwamba Mwenyekiti ni dhaifu itaungwa mkono na wengi, basi iwe ndio wake-up call juu ya umuhimu wa kuwa na uangalifu zaidi katika kuteua wagombea Urais kupitia CCM; Vinginevyo Mwenyekiti amebakisha miaka mitatu tu, aachwe amalizie muda wake;

Aachwe amalize mda wake? Sisi tunamuombea adondoke hata Leo akafie huko mbali! Miaka mitatu mingi sana huyu jamaa alikuwa ni wa kupiga chini! Ila kwa sahihi anawaongoza udhaifu basi anajiona uongozi wake umetukuka! Mbona siku hizi haanguki?
 
Kofia ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Wa Nchi hazikuwekwa pamoja kwa bahati mbaya, bali ilikuwa ni nia ya mukusudi ili kumpa nguvu Rais ya kuendesha nchi bila kuingiliwa na nguvu ya chama, hasa wakati ule Chama kimeshika hatamu; Pamoja na ujio wa mageuzi ya kisiasa yaliyopelekea mfumo wa vyama vingi, leo hii uhalisia bado unabakia pale pale - Tanzania bado ni taifa changa sana kisiasa kuweza kutenganisha kofia hizi mbili bila kuleta madhara yoyote kwenye utawala wa nchi;

Kitendo cha kutenganisha kofia hizi mbili kutapelekea nchi kuyumba, kwani kimaamuzi, kutakuwa na mivutano mikubwa sana na ya mara kwa mara baina ya Mwenyekiti Wa CCM na Rais anayetokana na CCM; Ni muhimu kwa kofia hizi mbili ziendelee kubakia chini ya mtu mmoja kama ilivyo sasa, na iwapo hoja kwamba Mwenyekiti ni dhaifu itaungwa mkono na wengi, basi iwe ndio wake-up call juu ya umuhimu wa kuwa na uangalifu zaidi katika kuteua wagombea Urais kupitia CCM; Vinginevyo Mwenyekiti amebakisha miaka mitatu tu, aachwe amalizie muda wake;

Labda nilishawahi kuheshimu sana michango yako kwenye jukwaa hili la siasa!!ila kwa upuuzi ulioandika hapo itabidi nianze kutafuta pa kuihamishia heshima yangu,naanza kuona kuwa hapo ilpo si mahali sahihi,pole mtambuzi!!kumbe wakati mwingine ni mganguzi!!in short hakuna cha maana ulichoandika hapo!!u-dudu mtupu.
 
waacheni wafu wazikane maana naona wote wamechokana,Napee + jk+ mkama = ccm iliyokufa
 
Huyo fred ni nani nchi hii? Au ndio hao anaowazungumzia zitto wenye mapesa yao huko uswisi
 
Back
Top Bottom