Ame,
Nimekusoma, ila ningependa kuelewa connection baina ya posts zako za awali, posts za kwenye uzi huu, na matukio yanayo unfold dodoma kwani napata tafsiri sio chini ya nne: Kwanza, kofia hizi mbili ni lazima zitenganishwe na ikiwezekana, mwenyekiti aliyepo sasa ni lazima aondoke mazima; Pili, pia nguvu inayodhamiria kumtoa mwenyekiti wa sasa nayo lazima iondoke; Tatu, ni muhimu migongano hii iendelee ndani ya CCM ili chama kife na kuisafishia Chadema njia, na Nne, hakuna tena matumaini ya mabadiliko kupitia CCM bila ya kujalisha nani atagombea 2015, na matumaini hayo sasa yapo chadema;
Sijakuelewa vizuri kuhusu post namba 145 hapo juu - kuhusu mada ya mkandara;