Mtendaji wa kata ama kijiji anapaswa kuwa na degree ya utawala, au sheria ama associate degree kwa mambo ya uongozi. Siyo hawa watoto wenye vyeti

Mtendaji wa kata ama kijiji anapaswa kuwa na degree ya utawala, au sheria ama associate degree kwa mambo ya uongozi. Siyo hawa watoto wenye vyeti

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,148
Reaction score
14,488
Hivi kuna tatizo gani kwenye vichwa vya viongozi wetu? Yaani leo hii unaajiri mtendaji wa kijiji ama mtaa mwenye elimu ya kidato cha nne na cheti cha taaluma alichosomea mwaka mmoja ama miwili ? Halafu huyo mtu anakwenda kumsimamia mkuu wa shule mwenye shahada moja ama shahada ya uzamivu? Anakwenda kumsimamia dakitari kwenye kituo cha afya kilichopo kijijini ama mtaani kwake? Anakwenda kusimamia shughuli za ulinzi na usalama?

Huko Geita hawa viongozi wa vijiji wameua mtanzania kwa sababu eti ameiba 💻 kweli?
 
Hivi kuna tatizo gani kwenye vichwa vya viongozi wetu? Yaani leo hii unaajiri mtendaji wa kijiji ama mtaa mwenye elimu ya kidato cha nne na cheti cha taaluma alichosomea mwaka mmoja ama miwili ? Halafu huyo mtu anakwenda kumsimamia mkuu wa shule mwenye shahada moja ama shahada ya uzamivu? Anakwenda kumsimamia dakitari kwenye kituo cha afya kilichopo kijijini ama mtaani kwake? Anakwenda kusimamia shughuli za ulinzi na usalama?

Huko Geita hawa viongozi wa vijiji wameua mtanzania kwa sababu eti ameiba 💻 kweli?
Yule mtendaji kwa kumuangalia hakosi 40-50yrs

Wale ni darasa la Saba

Watendaji ambao utakuta amefika form four wanahesabika na ukikuta ana cheti basi kina D mbili na F 7

Kumbuka kuna Kazi MTU anafanya kwakuwa amekosa better option in life.


Naunga mkono hoja
 
Hivi kuna tatizo gani kwenye vichwa vya viongozi wetu? Yaani leo hii unaajiri mtendaji wa kijiji ama mtaa mwenye elimu ya kidato cha nne na cheti cha taaluma alichosomea mwaka mmoja ama miwili ? Halafu huyo mtu anakwenda kumsimamia mkuu wa shule mwenye shahada moja ama shahada ya uzamivu? Anakwenda kumsimamia dakitari kwenye kituo cha afya kilichopo kijijini ama mtaani kwake? Anakwenda kusimamia shughuli za ulinzi na usalama?

Huko Geita hawa viongozi wa vijiji wameua mtanzania kwa sababu eti ameiba 💻 kweli?
Yule mtendaji kwa kumuangalia hakosi 40-50yrs

Wale ni darasa la Saba

Watendaji ambao utakuta amefika form four wanahesabika na ukikuta ana cheti basi kina D mbili na F 7

Kumbuka kuna Kazi MTU anafanya kwakuwa amekosa better option in life.


Naunga mkono hoja

"Changamoto kubwa zaidi iliyopo katika ulimwengu wa Sasa ni kwamba, Watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na Siasa, hivyo Kuwapa Mamlaka Watu wasiokuwa na akili ya kuwatawala Watu wenye akili na Watu wasiokuwa na akili."

Donald Trump, Rais wa Marekani
 
"Changamoto kubwa zaidi iliyopo katika ulimwengu wa Sasa ni kwamba, Watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na Siasa, hivyo Kuwapa Mamlaka Watu wasiokuwa na akili ya kuwatawala Watu wenye akili na Watu wasiokuwa na akili."

Donald Trump, Rais wa Marekani
,✊🏿
 
Wale wapuuzi wamefanya tukio la kikatili sana. Na yule aliyerekodi na yule mwenye fulana nyeupe nao ni wa kutia tu ndani. Kwa sababu walikuwa wana uwezo kabisa wa kuwazuia wale wendawazimu kumuua yule kijana, ila hawakufanya hivyo.
 
Wale wapuuzi wamefanya tukio la kikatili sana. Na yule aliyerekodi na yule mwenye fulana nyeupe nao ni wa kutia tu ndani. Kwa sababu walikuwa wana uwezo kabisa wa kuwazuia wale wendawazimu kumuua yule kijana, ila hawakufanya hivyo.
Je asingerekodi si tungekosa ushahidi .kabisa.

Sema MTU akiwa anafanya mambo negative huwa kuna energy fulani inakuwa Ina m-drive
 
Je asingerekodi si tungekosa ushahidi .kabisa.

Sema MTU akiwa anafanya mambo negative huwa kuna energy fulani inakuwa Ina m-drive
Matukio kama hayo yanapotokea, ni vizuri kuchukua hatua ya kuzuia madhara makubwa kutokea. Na siyo kuishia kwenye kurekodi tu.

Ningekuwa ni mimi, ningejikita kwenye kuwazuia hao wendawazimu kujichukulia sheria mikononi, kwa sababu madhara yake ndiyo haya sasa! Ni kuishi jela maisha yao yote.
 
Matukio kama hayo yanapotokea, ni vizuri kuchukua hatua ya kuzuia madhara makubwa kutokea. Na siyo kuishia kwenye kurekodi tu.

Ningekuwa ni mimi, ningejikita kwenye kuwazuia hao wendawazimu kujichukulia sheria mikononi, kwa sababu madhara yake ndiyo haya sasa! Ni kuishi jela maisha yao yote.
Kwakuwa upo na ufahamu mzuri
 
Kwakuwa upo na ufahamu mzuri
Na uzuri nasema hivi kupitia uzoefu. Kuna mjinga mmoja na yeye niliwahi kumsaidia mapema, akaepukana na maafa kama haya yaliyo tokea. Mihemko na hasira kali vinatakiwa kudhibitiwa kwa wakati kabla ya madhara makubwa kutokea.
 
Na uzuri nasema hivi kupitia uzoefu. Kuna mjinga mmoja na yeye niliwahi kumsaidia mapema, akaepukana na maafa kama haya yaliyo tokea. Mihemko na hasira kali vinatakiwa kudhibitiwa kwa wakati kabla ya madhara makubwa kutokea.
Emotional intelligence .

Mkuu hii nchi yetu ina watu wengi ni wajinga Sana wao kuua ,kutesa na kumfanyia MTU ubaya ni jambo la kawaida Sana .

Na uko vijijini watu Kama mtendaji wanapewa heshima kubwa Sana .

Unaweza kukuta Mwalimu au Daktari anamuogopa mtendaji ambaye ni darasa la saba au ana D mbili na F 7

We are no longer respect professionalism
 
Kama mbunge sifa ni kujua kusoma na kuandika nchi kama Tanzania ukiwa serious utakufa bure
 
Back
Top Bottom