Mtendaji wa Ikulu na ujenzi wa majumba huko Morogoro

Wote tunajua mishahara ya watumishi wa serikali kutoka ni mpaka upige dili
 
waacheni wajenge.nikiongea hapa nitaambiwa ni mbaguzi na mchochezi ila siku na saa yaja ambayo hakuna aijuaye ila yule ambaye hana hila moyoni mwake.
 
naona hapa kuna mchanganyiko wa habari huyu Mbena mwenye majumba si mfanyakazi wa ikulu ni mfanyabiashara wa miaka mingi tu toka enzi za nyerere. Mbena wa Ikulu ni mwingine nimeshasikia watu wengi wakichanganya ili yule wa Ikulu anaitwa paul na sio tajiri kihivyo
 
naona hapa kuna mchanganyiko wa habari huyu Mbena mwenye majumba si mfanyakazi wa ikulu ni mfanyabiashara wa miaka mingi tu toka enzi za nyerere. Mbena wa Ikulu ni mwingine nimeshasikia watu wengi wakichanganya ili yule wa Ikulu anaitwa paul na sio tajiri kihivyo
Hii nayo sasa mbena malumbi ni wa ikulu ndio anayetajwa kwenye huo uwekezaji wa sasa.kuna mambo nyuma ya pazia tusio yajua.
 
FD, hapo umeonesha mwanga vizuri, kuwa kuna Mbena M ambaye mfanyibiashara wa siku nyingi, na kuna huyu Paul(alias Mena M) ambaye siyo tajiri sana. So, kunawatu humu ndani wanafoka tu bila kujua kuwa huenda wana mix issues.
naona hapa kuna mchanganyiko wa habari huyu Mbena mwenye majumba si mfanyakazi wa ikulu ni mfanyabiashara wa miaka mingi tu toka enzi za nyerere. Mbena wa Ikulu ni mwingine nimeshasikia watu wengi wakichanganya ili yule wa Ikulu anaitwa paul na sio tajiri kihivyo
 
kioja eti majina tofauti halafu tuna fananisha. Maslai binafsi. Nchi ya chukua chako mapema.
 
Mbena malundi -mfanyabiashara na mwekezaji katika majengo mkoani morogoro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,naamini sasa mwanadishi wa thread utakuwa umepata ukweli kati ya mbena mfanyabiashara na mbena mfanyakazi wa ikulu.
 
Mbena malundi -mfanyabiashara na mwekezaji katika majengo mkoani morogoro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,naamini sasa mwanadishi wa thread utakuwa umepata ukweli kati ya mbena mfanyabiashara na mbena mfanyakazi wa ikulu.
naona mkuu wa wilaya umenena,na sisi tunasadiki
 
gama hiyo chilakale resort huikujegwa kwa miaka 12 wacha uongo lile eneo tulikuwa tunaokota maembe dodo pale na mmiliki na mjua mpaka akawauzia hawa jamaa mwaka jana na ujenzi ulianza mara moja. Kuna wafanyabiashara wa mabasi wangapi lakini hakuna faida ya mabillion kama huyu unavyomtetea labda nawe ni mnufaika. Yale yale ya kina maige na malori 2 faida 40,000 dola kwa mwezi. Ni uongo mtupu. Huyo abood hawezi fanya kufuru kama hiyo na utajiri wake wa mabasi ni biashara nyingine. Tembelea bigwa ukaulize wenyeji kuhusu huyo mluguru wao utapata mengi.

M nawaelewa kwa tabu, hebu mmoja aweke picha za hyo hotel, maana ili tuione na tujue thamani yake...
 
Mkuu wa wilaya ya mvomero mtaka mwenye hiyo miradi ya chilakale ndio huyo wa ikulu na ndugu zake ndio wanaosema na ndio waliosema amefariki kwa kupigwa risasi.km miradi ilikuwa ni ya mfanyabiashara kwann familia ya mkuu wa kaya ilikuwa ikionekana ikija usiku kukagua kule mlimani kwenye mataaa?
 
Ni mtendaji wa ikulu kwa jina Mbena malumbi anafanya kufuru huko morogoro maeneo ya bigwa katika barabara ya zamani ya dar-moro kutokea mjini moro.

Yasemwayo na wananchi wa huko ni kuwa watu wananunuliwa kwa hela yeyote ile unataja wewe wakita enao lako na kukuhamisha hata kama una makazi tayari.

Washajenga hotel kando ya mto inaitwa Chilakale resort na live band yao ni hali ya juu sana.

Pia kuna ujenzi unaendelea kando ya huo mto mpaka kwenye milima ya uluguru majengo yanainuka kama uyoga na wananchi wakizidi kununuliwa kila kukucha.

Niliuliza nani ndio mhusika wa haya yote anatajwa huyo mtendaji wa ikulu.

Naomba kuuliza wanajamvi mwenye taarifa kuhusu huyu mtendaji wa ikulu na utajiri wa kutisha kama huu kaupata wapi ama kuna watu nyuma yake.

Hifadhi ya mlima Uluguru karibia yote washaichukua kwa mida ya usiku unaona umeme ukuwaka mlimani wakati huku wengine kuna mgao.

Naomba tasaidiane mwenye taarifa rasmi kuhusu huyu afisa wa ikulu atujuze.

Source ni mimi mwenyewe mkazi wa Moro. Naomba radhi kama sikufuata utaratibu wa uandishi.
majungu yanakusumbua utakufa na umasikini wako
 
Mbena malundi -mfanyabiashara na mwekezaji katika majengo mkoani morogoro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo,naamini sasa mwanadishi wa thread utakuwa umepata ukweli kati ya mbena mfanyabiashara na mbena mfanyakazi wa ikulu.

tunashukuru kwa kuweka sawa wakandiaji lazima waingie chaka Bwana harusi mtarajiwa
 
Back
Top Bottom