- Thread starter
- #61
Mtela ana ID nyingi kuliko Malaria Sugu!
Baada ya mkutano tu na walichokiona walikimbilia moja kwa moja Morogoro ambapo leo Dr Slaa naye anaingia Morogoro.
Mtela ana ID nyingi kuliko Malaria Sugu!
Mwigullu na Mtelaa wataingilia lini Monduli na Arusha Mjini?
Mkutano wa Kampeni za
Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi
kuwazomea kwa nguvu.
Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi
alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo
badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na
viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na
kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia
zaidi.
Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba
ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA
kama ilivyo kawaida yake.
Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni
kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda
anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.
Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya
robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio
wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM
Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!
Nikisema hii taarifa ni ya udaku, nitakuwa nimesema uongo?
Mkutano wa Kampeni za
Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi
kuwazomea kwa nguvu.
Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi
alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo
badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na
viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na
kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia
zaidi.
Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba
ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA
kama ilivyo kawaida yake.
Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni
kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda
anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.
Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya
robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio
wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM
Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!
Hivi wewe ni mzima kweli.Hahahahahahahahaahahahhaaaha Molemo naona unaripoti habari za Mtela.
Hahahahahahahahahahahaha hivi kwei mtu unaweza kutoa ripoti ya habari za mtu ambaye hana manufaa?
Hhahahaahahahahahahahahahahahahahaa huyu jamaa kawacharaza bakora za nanihii kule Iramba.
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha
Kuna mtu aliua mtu adhabu yake ilikuwa kuibeba maiti mgongoni hadi itakapooza, Mwigulu nafsi inamsuta anajuta kumumwagia tindikali hadi siku atakapokiri.Mkutano wa Kampeni za Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi kuwazomea kwa nguvu.
Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia zaidi.
Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA kama ilivyo kawaida yake.
Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.
Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!
Hahahahahahahahaahahahhaaaha Molemo naona unaripoti habari za Mtela.
Hahahahahahahahahahahaha hivi kwei mtu unaweza kutoa ripoti ya habari za mtu ambaye hana manufaa?
Hhahahaahahahahahahahahahahahahahaa huyu jamaa kawacharaza bakora za nanihii kule Iramba.
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha
Mkuu Molemo mimi nilikuwepo uwanjani,mtela alizomewa na nusura apate kichapo kutoka kwa wana Mbulu amabao historia yao inafahamika mwenyekiti wa ccm taifa alizomewa katika uwanja huu mwaka 2010
Pumba 2pu hao wahuni wachache mliotuma hapo ndio mnadhani uwanja umejaa cdm?
Endeleeni na longo longo zenu hizi za FEEL GOOD wakati wenzeni wanapiga mzigo kama kawaida. Endeleeni na cheap politics wakati CCM imedhubutu, imeweza na kwa sasa inatenda.
Huu ndiyo mkutano wake mnaodai alishushwa, endeleeni na spinning zenu.
Molemo huwezi kuwahadaa watu hayo mambo fanyeni bavicha tu huku jf hayapo we molemo hata kazi uliyopewa na chama chako imekushinda.
Uongo utaujua tu,huu mda wa kudanganyana wadanganye watoto.