Mtela Mwampamba ashushwa Jukwaani Mbulu

Mtela Mwampamba ashushwa Jukwaani Mbulu

[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
ZeMarcopolo ee, kicheko hichi hakiwezi kuwa bure. hujatoka glosari wewe? ha ha ha ha.....

Ndugu wakati mwingine zemarcopolo anaweza changia mada nakutoa point mpaka utashangaa, ila kuna saa ana crash mada ya wazi kabisa mpaka unashangaa, nafikiri anatatizo mahali si vibaya akamwona dactari.
 
[JFMP3][/JFMP3]
ZeMarcopolo ee, kicheko hichi hakiwezi kuwa bure. hujatoka glosari wewe? ha ha ha ha.....

Ndugu wakati mwingine zemarcopolo anaweza changia mada nakutoa point mpaka utashangaa, ila kuna saa ana crash mada ya wazi kabisa mpaka unashangaa, nafikiri anatatizo mahali si vibaya akamwona dactari.
 
Last edited by a moderator:
tatizo magamba hawajui hata kupima upepo uko hawapafai nendeni msoga na chalinze.
 
Ndugu wakati mwingine zemarcopolo anaweza changia mada nakutoa point mpaka utashangaa, ila kuna saa ana crash mada ya wazi kabisa mpaka unashangaa, nafikiri anatatizo mahali si vibaya akamwona dactari.
ZeMarcopolo ana kaugonjwa ka akili kanaitwa bipolar disorder (manic-depressive disorder), kama ulivyoshauri ni vizuri aende Muhimbili akawaone mabingwa wa magonjwa ya akili kabla hali haijawa tete. Huko kucheka sana ni dalili ya mania.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahaahahahhaaaha Molemo naona unaripoti habari za Mtela.

Hahahahahahahahahahahaha hivi kwei mtu unaweza kutoa ripoti ya habari za mtu ambaye hana manufaa?

Hhahahaahahahahahahahahahahahahahaa huyu jamaa kawacharaza bakora za nanihii kule Iramba.

Hahahahahahahahahahahahahahahahaha

Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe....
 
Magamba yatakoma mwaka huu,ngoja nijiandae zangu kuelekea kwenye Mkutano wa CDM hapa Moro ukiongozwa na Dr Slaa
 
Uongo utaujua tu,huu mda wa kudanganyana wadanganye watoto.
 
Molemo huwezi kuwahadaa watu hayo mambo fanyeni bavicha tu huku jf hayapo we molemo hata kazi uliyopewa na chama chako imekushinda.
 
Hakuna jaji mzuri kama mwananchi hajahuzulia kozi yoyote ile.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]

Ndugu wakati mwingine zemarcopolo anaweza changia mada nakutoa point mpaka utashangaa, ila kuna saa ana crash mada ya wazi kabisa mpaka unashangaa, nafikiri anatatizo mahali si vibaya akamwona dactari.

Hilo ni kundi la watu hoja hutegemea tu nani yuko zamu!
 
Last edited by a moderator:
Mkutano wa Kampeni za Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi kuwazomea kwa nguvu.

Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia zaidi.

Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA kama ilivyo kawaida yake.

Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.

Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!
Naona mwigullu amemgeuza Yule kijana walitemmwagia tindikali wenye ili kuichafua Chadema Msukule wake ...imebakia kumzika....That is a sense of Guiltyness.....,kwa walichomfanyia...!!!!!
 
Mkutano wa Kampeni za Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi kuwazomea kwa nguvu.

Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia zaidi.

Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA kama ilivyo kawaida yake.

Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.

Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!

hyo ilimstahili
 
Back
Top Bottom