Mtela Mwampamba ashushwa Jukwaani Mbulu

Mtela Mwampamba ashushwa Jukwaani Mbulu

Endeleeni na longo longo zenu hizi za FEEL GOOD wakati wenzeni wanapiga mzigo kama kawaida. Endeleeni na cheap politics wakati CCM imedhubutu, imeweza na kwa sasa inatenda.

Huu ndiyo mkutano wake mnaodai alishushwa, endeleeni na spinning zenu.

Vipi na Mbozi utaenda tena kutukana CHADEMA kama ulivyokwisha ahidi?
 
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Bangi ya umwagiliaji haifanani na ile ya porini !
 
Naona mwigullu amemgeuza Yule kijana walitemmwagia tindikali wenye ili kuichafua Chadema Msukule wake ...imebakia kumzika....That is a sense of Guiltyness.....,kwa walichomfanyia...!!!!!
Pamoja na 1st class yake but Mwigulu lacks sense of humor has got no human ethics, yeye anafurahia kutembea na mtu aliyeathirika kufanikisha mambo yake hajui kwa kufanya hivyo anamdhalilisha, ni sawa na kupanda jukwaani na binti aliyebakwa kuonyesha watu ubaya wa ubakaji.
 
Vipi na Mbozi utaenda tena kutukana CHADEMA kama ulivyokwisha ahidi?
Kamuulize Dr. Kitila atakueleza zaidi.

Tunashukuru sana kwa kutufanyia kazi ya kuwapasha habari wana JF kuhusiana na ziara za kuimarisha CCM. Keep it up!.

Tumedhutubu, tumeweza na kwa sasa tunatenda.
 
Pamoja na 1st class yake but Mwigulu lacks sense of humor has got no human ethics, yeye anafurahia kutembea na mtu aliyeathirika kufanikisha mambo yake hajui kwa kufanya hivyo anamdhalilisha, ni sawa na kupanda jukwaani na binti aliyebakwa kuonyesha watu ubaya wa ubakaji.
What's sense of humour?.

What's the point of having sense of humour without common sense.

Wana mwagia watu tindikali halafu mnaanza deployment ya defensive mechanism ya sense of humour.

Tutaendelea na hatutachoka kuwaeleza wananchi wapenda amani huu ukweli.
 
What's sense of humour?.

What's the point of having sense of humour without common sense.

Wana mwagia watu tindikali halafu mnaanza deployment ya defensive mechanism ya sense of humour.

Tutaendelea na hatutachoka kuwaeleza wananchi wapenda amani huu ukweli.
CCM hamna cha kuwaambia wananchi kilichobaki ni ku-create matukio kama haya ili mpate cha kulalamika, mnatoboa watu macho, mnaandaa kesi za ugaidi, mnamwagia watu tindikali ili iwe center of discussion, badala ya kuzungumza nini mtawafanyia wananchi muda mwingi unakuwa ni kulalamika Chadema imefanya hiki na kile, mbona hamtembei na Mwakyembe ku-draw sympathy.
 
Hahahahahahahahaahahahhaaaha Molemo naona unaripoti habari za Mtela.

Hahahahahahahahahahahaha hivi kwei mtu unaweza kutoa ripoti ya habari za mtu ambaye hana manufaa?

Hhahahaahahahahahahahahahahahahahaa huyu jamaa kawacharaza bakora za nanihii kule Iramba.

Hahahahahahahahahahahahahahahahaha

marcopolo aka marcomama unacheka kama kicheche kimeona hela bwn! au ndo mambo ya buku 7? nyambafuuuuuuu!
 
Mkutano wa Kampeni za Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi kuwazomea kwa nguvu.

Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia zaidi.

Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA kama ilivyo kawaida yake.

Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.

Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!

Mwigulu ajifunze kwa Ndugai, CDM kiboko yao!!
 
Kamuulize Dr. Kitila atakueleza zaidi.

Tunashukuru sana kwa kutufanyia kazi ya kuwapasha habari wana JF kuhusiana na ziara za kuimarisha CCM. Keep it up!.

Tumedhutubu, tumeweza na kwa sasa tunatenda.

Masikini unahangaika kama mtu aliyechanganyikiwa.CHADEMA kweli imekuumbua mpaka unatia huruma.
 
mimi nadhan hiz nh zama za mabadiliko hususan kwa serikal ambazo zimeshindwa kukidhi matakwa ya wananchi. mabadiliko haya yanaongozwa na wananch wenyewe, hata kama cdm kisingekuwepo hapa ccm ilipotufikisha nilazima tungeikataa, ila hongera cdm
 
Hahahahahahahahaahahahhaaaha Molemo naona unaripoti habari za Mtela.

Hahahahahahahahahahahaha hivi kwei mtu unaweza kutoa ripoti ya habari za mtu ambaye hana manufaa?

Hhahahaahahahahahahahahahahahahahaa huyu jamaa kawacharaza bakora za nanihii kule Iramba.

Hahahahahahahahahahahahahahahahaha

Unawashwa? Mbona unachekacheka hovyobovyo!
 
Huyo kijana waliyemmwagia tindikali wao wamemgeuza kuwa kuwa sanamu la maonesho hata bahi walienda naye!

Hakika hilo ni sanamu la maonyesho.Jitu zima linakubali kudhalilishwa mchana kweupe mbele ya kadamnasi.
 
kipimo cha kukubarika kiko kwenye sanduku la kura
 
Tuwe wa kwel jamani kama hujui kitu nyamanza sio kujitaftia umaarufu humu
 
Back
Top Bottom