Mtela Mwampamba ashushwa Jukwaani Mbulu

Mtela Mwampamba ashushwa Jukwaani Mbulu

[JFMP3][/JFMP3]

Ndugu wakati mwingine zemarcopolo anaweza changia mada nakutoa point mpaka utashangaa, ila kuna saa ana crash mada ya wazi kabisa mpaka unashangaa, nafikiri anatatizo mahali si vibaya akamwona dactari.

ZeMarcopolo akiongea utumbo ujue makusudi tu. Huyu jamaa vitabu zimepanda sana kichwani mwake ujue, usimwone vile.
 
Dhiki huwa haijali idadi ya vitabu ulivyosoma , si unamuona Kawambwa !

ha ha ha ha. nina bahati fulani Mkuu. mtu akishakuwa mwanasiasa tu, mimi saikolojia yangu huwa inamuondoa kabisa kwenye orodha ya watu objective; na kama unavyojua subjectivity haitoi nafasi kubwa tosha kwa vitabu. utashangaa mtu ana PhD kabisa na hawezi kuona reality.
 
Mkutano wa Kampeni za Udiwani wa CCM wilayani Mbulu zimeingia dosari baada ya wananchi kuwazomea kwa nguvu.

Zomeazomea hiyo ilianza tangu mwanzo lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipopanda Kada wa CCM aliyefukuzwa CHADEMA Mtela Mwampamba ambapo badala ya kutoa sera alianza kuwaporomoshea matusi ya nguoni CHADEMA na viongozi wake.Hali hiyo ililazimisha wananchi kupiga makelele na kumshusha kwa nguvu jukwaani kitendo alichotii Mwampamba kuepusha ghasia zaidi.

Mkutano huo ulikuwa unaongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba ambaye hata hivyo kwa kusoma upepo alishindwa kutoa matusi kwa CHADEMA kama ilivyo kawaida yake.

Nchemba alifuatana na kijana aliyemwagiwa tindikali Igunga na kusema ni kazi iliyofanywa na CHADEMA.Pia alidai yeye ndiye aliyeletewa Mkanda anaodai ni wa Ugaidi wa Lwakatare.

Kwa ujumla kulikuwa na watu wengi uwanjani lakini hata hivyo zaidi ya robo tatu ilikuja kuonekana ni wafuasi wa CHADEMA kutokana na mwitikio wao hali iliyomlazimu Mwigulu kushindwa kutumia Salaam ya CCM Hoyeee...badala yake ikabidi mara zote aseme Mbulu Hoyeee...!!!
acha uhongo dogo watu walikua wengi kushinda maelezo na hakuna mtu aliye zomea .uzomee hujitaki utatapika meno kama unatema mahindi CHEZEA GREENGARD WEWE.
acha propaganda zisizokua natija
 
Wairaq ni watu makini kweli. nami nashuhudia kuwa huku ccm hawapawezi.
 
Back
Top Bottom