Mteja wa nondo bei nzuri

Mteja wa nondo bei nzuri

Kamaka ipi
Tulilipa kamaka pesa lakini hawakutupa mzigo, na hawawezi kurudisha pesa cash Kwahiyo tunahitaji mtu yeyote mwenye interest ya kununua chochote kinachouzwa kamaka chenye thamani ya million 11 lakini tutampa price favor kidogo ili kumvutia
Kamaka ipo Kenya au.
 
Sasa haya maelezo ungeweka kule juu ili kupunguza haya maswali yasiyo na ulazima.

Hapo inamaana akitokea mteja anataka nondo za 11M au bati za 11M biashara inaishia hapo?

Hiyo Kamaka ungewaambia maseneta iko wapi ili wakipiga na gharama za usafirishaji, iwe wamenufaika kwa kununua kwako.

Pole sana, kiufupi una mini hardware mkuu.
Sahihi kabisa mkuu
Positive comment
Kamaka ipo opposite kabisa na airport JNIA terminal lll
 
Sasa mkuu unge weka kila kitu open hyo 11M inapungua mpk ngapi M mtu aone offer ina attract au vipi
 
Tulilipa kamaka pesa lakini hawakutupa mzigo, na hawawezi kurudisha pesa cash Kwahiyo tunahitaji mtu yeyote mwenye interest ya kununua chochote kinachouzwa kamaka chenye thamani ya million 11 lakini tutampa price favor kidogo ili kumvutia
Ahaa wee.bado
 
Back
Top Bottom