Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,824
- 15,932
Kamaka ipi
Kamaka ipo Kenya au.Tulilipa kamaka pesa lakini hawakutupa mzigo, na hawawezi kurudisha pesa cash Kwahiyo tunahitaji mtu yeyote mwenye interest ya kununua chochote kinachouzwa kamaka chenye thamani ya million 11 lakini tutampa price favor kidogo ili kumvutia