Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA
UKAWA ni mazuzu tu yanapelekwapelekwa. Kwani kuitwa mpinzani ndo unapinga kila kitu? Na ni yupi tunamfurahisha? Jumuiya za kimataifa au tunaangakia mustakabali wa nchi yetu? Mie sioni haja ya wako kutoka wanajivunjia heshima. Na tunakosa maana ya kuqachagua kabisa. Sisi wananchi tuliwachagua kutetea hoja. Suala la zenji liko wazi. Kabla ya rais mapya hajaapishwa aliyekuwa madarakani ni Rais bado sasa kelele za nini ni wendawazimu tu walionao wakale malimao hukoNaheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Huoni kilicho pindishwa Zanzibar? Kwa akili nyepesi tu, Zanzibar ikiwa halali basi kilicho fanyika Bara ni haramu! Kama dosari zimefuta uchaguzi Zanzibar kwanini malamiko ya UKAWA hayakusikilizwa, japo kusikilizwa tu????!Kinachopindishwa Zanzibar ni kipi ndugu yangu? Mbona suala la Zanzibar halihitaji kua na akili za ziada? Kama hata hili la Zanzibar unaliunga mkono basi kuna tatizo mahali, kuna tatizo lazima.
Umemjibu vzr sana...yan kuna umati mkubwa sana wa watu wanashndwa kuelewa lengo la ukawa jana kupga kelele...lengo kuu ni kufkisha ujumbe dunian kuonyesha dhulma za ccm na ili ujue ujumbe umefika angalia zl vdeo tena uone mhusika alivykuwa anaona aibu...hana raha tena yule...siasa sio lazma uongee,vp vitu vngne ukifanya vinaleta impact ?100 zaid ya maneno.Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Hivi nchi hii kuna jambo linaweza kutatuliwa kwa kukaa kimya kuisubiria serikali ya ccm iwasaidie! Kwanza wazanzibar wamekuwa waungwana sana, kipindi hiki! Kama wangeamua kudai haki kwa nguvu mwafaka ungekuwa umeshapatikana tayari!Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.
Hv muda mwngne huwa mnafanya makusudi au ndo akili zenu zilipogota?hv mkuu inamaana huelewi nini kinaendlea znz? Mbona umeandika upuzi sana japo ulianza kma mtu mwnye akili?Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).
Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).
Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA
Sasa imesaidia nini zaidi ya kujichoresha?!kipi kimebadilika baada ya wao kutoka bungeni na kuzomea uongozi wa juu wa nchi kana kwamba wamekunywa viroba na gongo?!
Ni haki yao kisheria kwa mbunge kutoka nje ya ukumbi wa bunge pale anapoona hakubaliani au haafiki mada au hoja zinazotolewa!lakini kuzomea na kuleta fujo bungeni ni kinyume na sheria na taratibu za bunge!
Hoja zinapingwa kwa Hoja na sio Vioja kama walivyofanya Ukawa jan!Wametia aibu na kuwafanya watu waliowachagua kujutia maamuzi yao
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).
Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.
Vipi mmekubaliana na kilichofanyika bara?Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.
Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?
UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).
Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.