Mtazamo wangu kuhusu wabunge wa UKAWA Kuzomea bungeni

Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA

hii mitaa uliyopita wanaishi mapoyoyo na magumegume ila mitaa inaoshi waelewa wanajua kuwa ccm is dead!
 
ukawa wataendelea kudum ww na akili yako ndogo ya kuburuzwa utazidi kuburuzwa
 
Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
UKAWA ni mazuzu tu yanapelekwapelekwa. Kwani kuitwa mpinzani ndo unapinga kila kitu? Na ni yupi tunamfurahisha? Jumuiya za kimataifa au tunaangakia mustakabali wa nchi yetu? Mie sioni haja ya wako kutoka wanajivunjia heshima. Na tunakosa maana ya kuqachagua kabisa. Sisi wananchi tuliwachagua kutetea hoja. Suala la zenji liko wazi. Kabla ya rais mapya hajaapishwa aliyekuwa madarakani ni Rais bado sasa kelele za nini ni wendawazimu tu walionao wakale malimao huko
 
Kinachopindishwa Zanzibar ni kipi ndugu yangu? Mbona suala la Zanzibar halihitaji kua na akili za ziada? Kama hata hili la Zanzibar unaliunga mkono basi kuna tatizo mahali, kuna tatizo lazima.
Huoni kilicho pindishwa Zanzibar? Kwa akili nyepesi tu, Zanzibar ikiwa halali basi kilicho fanyika Bara ni haramu! Kama dosari zimefuta uchaguzi Zanzibar kwanini malamiko ya UKAWA hayakusikilizwa, japo kusikilizwa tu????!
 
Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Umemjibu vzr sana...yan kuna umati mkubwa sana wa watu wanashndwa kuelewa lengo la ukawa jana kupga kelele...lengo kuu ni kufkisha ujumbe dunian kuonyesha dhulma za ccm na ili ujue ujumbe umefika angalia zl vdeo tena uone mhusika alivykuwa anaona aibu...hana raha tena yule...siasa sio lazma uongee,vp vitu vngne ukifanya vinaleta impact ?100 zaid ya maneno.
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.
Hivi nchi hii kuna jambo linaweza kutatuliwa kwa kukaa kimya kuisubiria serikali ya ccm iwasaidie! Kwanza wazanzibar wamekuwa waungwana sana, kipindi hiki! Kama wangeamua kudai haki kwa nguvu mwafaka ungekuwa umeshapatikana tayari!
 
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?

UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).

Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.
Hv muda mwngne huwa mnafanya makusudi au ndo akili zenu zilipogota?hv mkuu inamaana huelewi nini kinaendlea znz? Mbona umeandika upuzi sana japo ulianza kma mtu mwnye akili?
 
Mkuu mimi si mgeni ndani ya nchi yangu. Ufumbuzi wa tatizo si kupiga makelele kama watoto wadogo bali ni kupatia tatizo usuluhisho.

mshawahi ona mcheza mpira akasirika akapiga ngumi au Kofi? Bungeni hivyo vitu ni kawaida, ni namba ya kupiga hoja mbovu
 
Hivi kuna ntu mwenye akili yuko ccm? wengi wanaounga wanao laumu ukawa kutoka nje ni mbumbu tu, maana tunajua hawawezi kujua kinachomaanisgwa na ukawa maana inahitaji kusoma ili uelewe ukawa walimaanisha nini! Tatizo la mbumbumbu huishia kuangalia picha na kufanya conclusion! Na hili la picha ya bungeni watalitumia sana kama propaganda kwa wananchi mbunbumbu wasiokuwa na uelewa kama wao ambao ufahanu wao hutokana na kuona picha tu maana kusoma hawajui!
Nchi hii itakombolewa pale watu wenye elimu ya juu itakapofika japo 30% ya watanzania wote! Kwa sasa tutahangaika sana japo majitu yanapigika na maisha lakini hayajui hata ni nani anayewaatetea wao wanaangalia picha tu na kuconclude kuwa zkawa wanafanya fujo bungeni!
 
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?

UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).

Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.

Mkuu kitendo cha UKAWA kupiga kelele ina impact kubwa kitaifa na kimataifa.... kitendo cha wao kupga kelele kinaonyesha kutokubaliana na uhalali wa urais wa Dr. Shein, na wangekaa kimya ni kwamba wangeonekana kukubaliana na uhalali wa urais wa Shein.

Nikuulize swali, Hivi ni kwanini wanasheria wa CCM ndo pekee wanaojua kuisoma na kuitafsiri katiba na sheria zake?
 
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba comments za wananchi wengi juu ya maamuzi ya UKAWA ni negativu. Ka kweli wananchi wengi huku mitaani wanalaani sana walichofanya ukawa jana. Nimepita jana mitaa kadhaa kama Mfaranyaki, Bombambili, Makambi, Mateka, Mjimwema, Matarawe, hapa Lizaboni, Lilambo na kwingineko hakika wananchi wamekasirishwa sana na walichofanya UKAWA

Comments za wananchi wangapi? Nchi hii ina zaidi ya watu milioni 45! Watu sio lazima wawe na mawazo sawa muda wote wakati wote, ni haki yao! Nenda upande mwingine kawaulize kilichotokea waweza wapa comments tofauti na ukashangaa.
 
heshma kwao ukawa kwa kukataa ubakaj wa katiba na demokrasia, daima nitawaheshm kwa kuleta changamoto bungen, leo yale mliyoyapigia kelele bungen mkazomewa na mka2kanwa yamesemwa waz na jpm, na wenye akil wameona umuhm wenu ongeren. LONG LIFE UKAWA
 
Sasa imesaidia nini zaidi ya kujichoresha?!kipi kimebadilika baada ya wao kutoka bungeni na kuzomea uongozi wa juu wa nchi kana kwamba wamekunywa viroba na gongo?!

Ni haki yao kisheria kwa mbunge kutoka nje ya ukumbi wa bunge pale anapoona hakubaliani au haafiki mada au hoja zinazotolewa!lakini kuzomea na kuleta fujo bungeni ni kinyume na sheria na taratibu za bunge!

Hoja zinapingwa kwa Hoja na sio Vioja kama walivyofanya Ukawa jan!Wametia aibu na kuwafanya watu waliowachagua kujutia maamuzi yao

Hoja gani mpya juu ya suala la Zanzibar ambayo haijapingwa kwa hoja?
 
Kwenye kufikiri na kutafakari kwa umakini atakubaliana na ukweli kuwa zanzibr haki imekanyagwa. Kama haki imepokwa ni sahihi kuonesha kuwa kuna dhuluma haijalishi utachagua njia gani kuwaambia watu kuwa HauKubaliani na dhuluma.
Acheni kutenda na kutetea uovu! Yaliyofanyika Zanzibar ni kinyume cha Sheria na utaratibu.
 
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?

UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).

Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.

Tatizo la nyumbu huwa hawajitambui siku zote
 
Naheshimu mtazamo wako huo, ila kwakua tuko wachanga sana kisiasa hamtaelewa kilichofanyika na impact yake kwa Jamii ya kimataifa, kwamba kinachofanyika Zanzibar sio sahihi na kwamba Ccm wamevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Walichaguliwa na wananchi sio wakashangilie upuuzi wa serikali ya ccm, Walichaguliwa ili wapinge dhuluma na uonevu dhidi ya Watanzania wote na jana walipinga. ASANTENI UKAWA.
Vipi mmekubaliana na kilichofanyika bara?
 
Bunge la 11liliingia siku yake ya nne (4) Ijumaa ambapo ilikuwa siku maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuhutubia bunge na kufungua rasmi. Kabla ya Mh. Magufuli hajaingia wabunge wa upinzani wanaounda UKAWA walianza kupiga makelele wakimtaja Maalim Seif wa Zanzibar. Hali hiyo ilimlazimu spika wa bunge Job Ndugai kuamuru watoke nje baada ya kuwataka watulie lakini hawakufanya hivyo.
Cha kujiuliza; Walichaguliwa na wananchi kwenda bungeni kufanya vitu vya ajabu?

UKAWA sioni wanachodai hadi kupiga makelele ndani ya ukumbi tukufu la bunge. Katika kufuatilia kwangu kwa undani zaidi kuna mtu nyuma ya wabunge wa UKAWA, na si wote wanapenda kufanya fujo (kupiga kelele).

Kwa mtazamo wangu UKAWA inakoelekea watapoteza mwelekeo pia watakosa matumaini kwa wananchi, uchochezi huu huchangiwa na viongozi wakubwa wa vyama vinavyounda UKAWA. Cha kushangaza hata sheria inayozungumzia ukomo wa kipindi cha Rais Zanzibar wanapindisha.
Kwa mtazamo wangu UKAWA muda si mrefu watatengana.

Kudai haki Zanzibar siyo 'kitu cha ajabu'......wenye macho wameona tu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom