Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

Mungu Utuepushie Mbali Majanga Yao!!! Mnatuharibia "Udhu "Jmn!! Kweli Mnashindana Ktk Biashara Matangazo Ndani Biashara Huria Ktk Soko Huru!!! Legezeni Kidogo Jmn!! Astqaffulahh!!
 
Neema za allah hizo Chief,ila kusema kweli siku hizi wamezidi unakutana na mdada kafungashia mzigo wa maana afu unakuta umeshika nae bomba kwenye daladala sasa akikuegemea unakuwa hoi maeneooo....Mtatuua jamani!!!!
Mkuu sijui tujifiche wapi mana kila kona wapo
 
Dada zetu siku hizi hawapendi kuvaa chupi kabisa.Wenyewe wanadai wanataka wapigwe upepo kunako.

Sasa wengine nguo wanazovaa ni hatari tupu,unakuta kavaa nguo laini na mzigo kajaliwa huo mtikisiko sasa mpaka presha zinatupanda.

Na wengine mpaka tamu yote inaonekana. Dada zetu hembu tuoneeni huruma sisi watoto wa watu. Tunajua ni utandawazi lakini sasa mmezidisha.
hebu nikumbushe,badala ya hiyo wanavaa nini....?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom